Yaliyonikuta Tabora


Wewe ni muongo, mimi pia ni mzaliwa na nimekulia Tabora mjini. Usitegemee ulale guest za buku halafu upate matatizo uje ututukane humu. Karibu na stand kuna hoteli nyingi sana tu za maana kama GOLDEN EAGLE na FRANKMAN sijawahi kupata huduma mbaya toka kwao.

Huwezi kusema vibaya mkoa mzima kwasababu ya huyo mlevi na polisi njaa ambao wapo nchi nzima.
 
Sehemu yoyote walopita waarabu sijajua ni kwa nini,nilienda kufacilitate semina Mtwara wahudumu wa hotel hawajali wateja similar kesi Lindi napo ni hivo hivo lakini nilienda Mwanza,Mbeya,Kilimanjaro huduma safi sijui waliwapa dawa gani hawa waarabu.


Hiyo ya Mtwara ilikuwa mwaka gani na ilikuwa ni Hotel gani?,sitegemei kusikia hivyo kwa mtu aliyefikia Naf Blue hotel lakini kama ulijichanganya uswazi basi hapo utaendelea sana kuwalaumu waarabu.
 
Tabora ipo hovyo kabisa hata kiusalama,nilikwenda kikazi kule kuna hotel maarufu nilifikia, sasa nikawa nimetoka nje kuna bar sehemu nikapata moja moto na ili nipate kujua habari za pale, ndipo jamaa wakawa wanaongelea hotel nilipofikia nanukuu 'hii hotel Bwana imezidi kwa ujambazi Juzi wamevamia na kila room wakawa wanaingia na kuiba,muda si mrefu itakosa wateja'. Na mimi ndio nimekaa Pembeni nawasikiliza, asubuhi nikahama ile hotel
 
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 

Mkuu kumbuka huduma nzuri ulizopata na tabia za watu wa Tabora....Kwanza wakipata kazi huwa wanajionesha kwa watu wa kwao kwamba wao sasa wana ajira. Hii ndiyo tabia ya Wanyamwezi. Badala ya kutoa huduma huwa wanajionesha wamepata. Kwa kuwa umesema ulipata huduma nzuri Franline na Golden Eagle basi na wewe isiwe ndo sample ya kwamba hoteli zote ni nzuri.
 
Polisi wa Tanzania akili zao kama misukuke vile...

Hii ni kwa sababu imejaa vilaza waliokosa nafasi za kuendelea kimasomo...
Pole Polisi wa TZ ni watafuta hela. Atafanya kitu chochote mpaka ipate hela yako. Kama huna kosa atasingizia umemtukana
 
Hapana mkuu......ni katika hali ya kuwa karibu na eneo la stendi.......Kwa taarifa tu kwa tabora hata hoteli iwe kubwa kiasi gani uelewa wa watu wa Tabora unafanana.
usifikiri kwa kutumia hasira hautaeleweka, mbona hata mimi nilicheleweshwa ubungo mhudumu analiwa chumbani?
 
Mkuu unatuporomoshea matusi yote hayo wanyamwezi kwasababu ya muhuni mmoja tu?

Hututendei haki kabisa mkuu

Wao hawakunitendea haki mbona hausemi? Thamani halisi ya kioo cha mlango na matengenezo ilikuwa ni sh elfu thelathini tu (angalia hiyo picha). Sasa kwa nini wao walitaka nitoe laki saba? Mbona hilo haulioni kuwa si sahihi?
 
Miafrika banah sijui ikoje!..huo ni umaskini au we ni le mbebez mwalimu.

Tatizo mnalala gest za maskini. Nenda lodge ya maana afu lala presidential suite uone kama utapata hayo majangazi!!

Ckila mtu anauwezo wakulala sehemu hizo unazosema Tunatofautiana uwezo....unataka kuniambia anapolala Riz1 nisawa na anapolala mwendesha Bodaboda?
 

Uongo huu
 

Umesahau na Itaga Seminary
 
Hapana mkuu......ni katika hali ya kuwa karibu na eneo la stendi.......Kwa taarifa tu kwa tabora hata hoteli iwe kubwa kiasi gani uelewa wa watu wa Tabora unafanana.
watu wa tabora wanafanana uelewa??unaonekana ww n mjuaji saana,na ulilala hotel ya bei rahis,teheee tabora hakuna maendeleo ww ulienda wap na wap?
 
watu wa tabora wanafanana uelewa??unaonekana ww n mjuaji saana,na ulilala hotel ya bei rahis,teheee tabora hakuna maendeleo ww ulienda wap na wap?

Mkuu achana naye huyo anastress za kulipishwa gharama za mlango.

Kwa sisi tunaoijua Tabora ya miaka hiyo ghorofa ni ofisi ya mkuu wa mkoa tu mpaka sasa hivi, mabadiliko ya kimaendeleo tunayaona.

msamehe huyo malyenge(makengeza) amevurugwa
 
Mkuu achana naye huyo anastress za kulipishwa gharama za mlango.

Kwa sisi tunaoijua Tabora ya miaka hiyo ghorofa ni ofisi ya mkuu wa mkoa tu mpaka sasa hivi, mabadiliko ya kimaendeleo tunayaona.

msamehe huyo malyenge(makengeza) amevurugwa
maendeleo gani Tbr,punguzeni uchawi na uswahili watu tuje kuwekeza
 
Mkuu achana naye huyo anastress za kulipishwa gharama za mlango.

Kwa sisi tunaoijua Tabora ya miaka hiyo ghorofa ni ofisi ya mkuu wa mkoa tu mpaka sasa hivi, mabadiliko ya kimaendeleo tunayaona.

msamehe huyo malyenge(makengeza) amevurugwa

Sasa wewe ndo umeanza dharau....................................Mbona kuna maghorofa kibao tu yamejengwa Tabora? Hivi wewe ni mnyamwezi wa Urambo ama ni mkimbizi wa Urambo? Maana kama Tabora ni kwenu usingeshindwa kuyaona maghorofa yaliyojengwa.....matokeo yake unakumbukumbu ya tabora ya miaka kibao..... Maghorofa yapo mengi siku hizi si kama zamani. Acha kudharau wanyamwezi. Tunazungumzia huduma mbovu Tabora na si kubeza maghorofa. Usitoke nje ya mada........
 
Customer service mbovu kabisa huyo mhudumu alitaakiwa ataifishwe kazi hapo hapo!Na hao mapolisi kiboko doh walitaka wakudhulumu mara 20 ya pesa ulolipa kwaajili ya mlango ambao umeharibika kwa kosa la mhudumu!
 
Mkuu OKW BOBAN SUNZU umewatajia sababu za kutoendelea Tabora! Hongera sana mkuu. Kuna watu walikuwa wanashindwa kupata corolation ya huduma mbovu na maendeleo. Umeshawatajia mkuu. Mojawapo ni uchawi na Uswahili......
Sasa kitendo walichonifanya Goodley Hotel ni uswahili.......!!!!!!
Mkuu wewe ni genius.......!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Soma vizuri uielewe hiyo statement ya kuhusu maghorofa usiwe na haraka kucomment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…