Sehemu yoyote walopita waarabu sijajua ni kwa nini,nilienda kufacilitate semina Mtwara wahudumu wa hotel hawajali wateja similar kesi Lindi napo ni hivo hivo lakini nilienda Mwanza,Mbeya,Kilimanjaro huduma safi sijui waliwapa dawa gani hawa waarabu.
Hili jambo kaka ni muhimu utaje hiyo hotel yasije yakatukuta,pia tukatumia silaa tulizo nazo kihalali kumpekekanmtu kuzimu.Hilo jambo ni muhimu kabisa kutaja tujiepushe na hiyo hotel kama ukoma.
Na quality za polisi wa Tabora ziko chini sana. Kuna polisi mmoja alijitambulisha yeye ni lawyer....lakini vitu alivyokuwa anazungumza ni contrary kabisa na sheria ya suhahidi aliyokuwa akiizungumzia.
Sijaona uhusisno wowote wa mkasa huu na Tabora kuwa nyuma kimaendeleo. Ninachoona hapa ni kuwa wewe ndo upo nyuma sana kimaendeleo
Na quality za polisi wa Tabora ziko chini sana. Kuna polisi mmoja alijitambulisha yeye ni lawyer....lakini vitu alivyokuwa anazungumza ni contrary kabisa na sheria ya suhahidi aliyokuwa akiizungumzia.
Nimeshaitaja.....ni Goodley Hotel
yaani ulivyoianza thread yako na ulichokiandika tofauti kabisa!! Kuna lodge kibao tbr zinawahudumu wanaojielewa tena ukiwaambia wakuamshe unasafiri jamaa wapo on time sn!!
Hayo ni matatizo ya mtu binafsi, hizo guest za karibu na stand mimi huwa silali yaani nipo radhi nikalale ipuli kuliko hizo guest!
Huyo dogo mmoja hawezi kukufanya udraw conclusion kuwa wahudumu wote wa lodge za tbr wapo hivyo, sample size yako ni ndogo mno unless ungekuwa umelala lodge nyingi kidogo na ukakutana na the same thng kidogo ningekuelewa!!
Ulivyoianza thread yako haiendani na ulichokiandika!
Preta, umeniletea mteja mzuri..... Jamani TZ taamu sana kwa vituko!!Taja jina la hotel Ili iwe fundisho...........inawezekana mmiliki pia yupo humu.........
siku nyingine nenda Zanzibar kale upepo na wife.......kule watu wamezoea utalii.........
Mkuu kumbuka mimi ni mzaliwa wa huko Tabora na sijawahi kuukana unyamwezi wangu. Ninayoongea ni kweli tupu.Sijaona uhusisno wowote wa mkasa huu na Tabora kuwa nyuma kimaendeleo. Ninachoona hapa ni kuwa wewe ndo upo nyuma sana kimaendeleo
sema na wewe!! Eti ukienda dar ukakuta mama ntilie mzembe unadraw conclusion kuwa dar itarudi nyuma kimaendeleo! Only in tanzania.
Kwanini usingelala pale Orion ?hata hivyo sababu ulizotaja hazina uhusiano wa moja kwa moja na maendeleo ya mkoa wa Tabora.
Mkuu kumbuka mimi ni mzaliwa wa huko Tabora na sijawahi kuukana unyamwezi wangu. Ninayoongea ni kweli tupu.
Hebu nikupe mkasa mwingine wa nyuma. Nilikodi tzxi kunipeleka kijijini...njiani polisi wa tigo wakatusimamisha na kuanza kumhoji dereva ya kwamba tunaenda wapi. Akawajibu nampeleka huyu mteja. Wakakagua nyaraka zingine zote za gari wakakuta ziko safi. Wakamuuliza dereva gari hiyo imetengenezwa kubeba watu watano pamoja na dereva iweje imebeba watu wawili tu?
Sasa nikuulize mkuu hili nalo siyo kero? Au wewe unalionaje maana unaona kana kwamba Tabora naipondea wakati mimi ni mzaramo........