black abdu
Senior Member
- Dec 2, 2022
- 157
- 214
- Thread starter
-
- #21
Kweli, nilipanda tarehe 24, December, lilikuwa poa sana... tatizo hawana ya later hours, magari yao yote yanaondoka mapema sana asubuhi.Wakati mwingine jaribu Extra Luxury Coach Mkuu...
Utanishukuru..
Okay!...sijawahi kulisikia kusema kweli....wapo route hizi hizi za kaskazini ?Hapana...Extra
Tarehe 8 Desemba, nilipanda tena basi Lao la mchana kuelekea Arusha. Tulipofika kipande cha kuanzia Same hadi Njia Panda kulikuwa na mvua kubwa.
Kimsingi hakuna luxury bus TanzaniaSafari ilianza saa moja na nusu asubuhi, Arusha. "Disappointment" ya kwanza ni kwenye gari tulilokuta stendi, tofauti na matarajio yangu. Tuliambiwa gari ni "luxury", kwa nauli ya 40,000/-. Lakini kitu pekee cha ki-luxury ndani ya basi hilo kilikuwa ni choo, hakuna zaidi.
Yes, wapo..Okay!...sijawahi kulisikia kusema kweli....wapo route hizi hizi za kaskazini ?
You joined Dec 2022 unakumbukumbu ya zamani ipi hiyo?Laaaaaah umenikumbusha mbali, kweli zamani yalianza na rangi ya Kijani.
Hao Sina hamu walinilaza Igunga hao KIDIA hivi hiviKaribu KIDIA ONE, njoo uone tofauti, wako on time, hawana mbambamba njiani
Kuna safari nilipanda Upuuzi unaitwa GREEN LINER aiseee zile sio bus ni takatakaaa za chooni kabisaaa... nje wamechora wifi sijui nini yani ndani yamejaaa Kungunii na mendeee nilijuta ile safari siji kusahauuu ni Gari mbayaa mnooo bora upande bajajiii aisee sio ule uchafu.Tanzania Luxury bus almost hakuna mengi ni fix tu,utakuta nje ya bus wameandika free WiFi wakati hata dereva mwenyewe hajui hicho kitu ni kitu gani?
Tz kuna bus za bora kufika nothing special.
Hapo ndipo mkosi ulipoanzia.Laaaaaah umenikumbusha mbali, kweli zamani yalianza na rangi ya Kijani.
Unatembea na uchafu! Ooh! Ndiyo sababu utembeapo nzi wa kijani hukufuata mgongoni!Kwangu Mimi kupanda Basi lenye choo ndani ni
1. Unatembea na uchafu
2. Ni ushamba
3. Choo sio luxury
Najua nauli n 35,000 Ila mie KiukweliBora nipande saibaba au harambee naul 15,000 tuu na njian nakuwa huru kabisa sasa Ile balance iliobaki nikifika nnapoenda ndio huifanyia malipizi na moyo unakuwa safiii
Una upeo mdogo kwa kukusaidia wako wanojiunga jamiiforum wakiwa watu wazimaYou joined Dec 2022 unakumbukumbu ya zamani ipi hiyo?
Uzi ufungwe. Wewe ndo umetoa sababu ya kitaalamu ambayo haitajwi sana. Mikopo ndo inatumaliza kwa kweli.BM ndo basi kwa sasa ambalo nalo baada ya miaka 7 litakuwa sio basi la kupanda.
Biashara hufa maana katika kilele cha mafanikio hawa matajiri ufungua miradi mingine na kukopa sana.
Kitendo cha kukopesheka sio sababu ya kukopa bila mipango, hapa ndo wanaharibu, Kilimanjaro ishakufa.