Yaliyonikuta leo asubuhi

Yaliyonikuta leo asubuhi

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
,Leo asubuhi mida ya saa tatu asubuhi wakati nalala nilivamiwa,nikasikia sauti yao nikaona wanakuja,nikaamka toka usingizi gafla,moja akanifuata akitaka kunivamia,kwakuwa huwa nalala na silaha sikuwa na jinsi yoyote ya kujisaidia bali nijilinde,aliponifuata wa kwanza nikamwahi nikamtandika,nikamtandika tena,mpaka akaunguka chini na kuzimia,wa pili akaja tena nilishindwa kumwahi tukazungushana humo ndani kwa mda,huku majirani zangu wakiwa wanasikia kelele,nikabahatika kumpiga,aliumia ingawa aliendelea kuzikwepa,nikampiga mfululizo naye akaanguka chini,kuangalia mikono yangu nikaona dam,sikuamini mi ndo nimeua,nikamwona moja anajaribu kuamka,nikamwahi nikamtandika naye akafa hapo hapo,yaani kwa ujumla ndo nilivyopambana na mbu waliojaribu kuninyonya damu.
 
Duh.... Raha ya uswazi ni kwamba hata ukiwa unaua mbu chumbani kwako basi jua na majirani zako wanasikia
 
,leo asubuhi mida ya saa tatu asubuhi wakati nalala nilivamiwa,nikasikia sauti yao nikaona wanakuja,nikaamka toka usingizi gafla,moja akanifuata akitaka kunivamia,kwakuwa huwa nalala na silaha sikuwa na jinsi yoyote ya kujisaidia bali nijilinde,aliponifuata wa kwanza nikamwahi nikamtandika,nikamtandika tena,mpaka akaunguka chini na kuzimia,wa pili akaja tena nilishindwa kumwahi tukazungushana humo ndani kwa mda,huku majirani zangu wakiwa wanasikia kelele,nikabahatika kumpiga,aliumia ingawa aliendelea kuzikwepa,nikampiga mfululizo naye akaanguka chini,kuangalia mikono yangu nikaona dam,sikuamini mi ndo nimeua,nikamwona moja anajaribu kuamka,nikamwahi nikamtandika naye akafa hapo hapo,yaani kwa ujumla ndo nilivyopambana na mbu waliojaribu kuninyonya damu.

nunua net acha kujitesa kwa ubahili wako!!
 
Hahahahaah nlifkir wa act movie ya kihindi lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Chandarua kina itajik hapo il uciendelee kumwg dam z iv vimb
 
Back
Top Bottom