Yaliyonikuta jana usiku

TANZANNIA

JF-Expert Member
Sep 29, 2015
1,047
385
Mimi ni mfanyakazi,jana niliingia shift ya saa nane mchana na kutoka saa nne usiku.Mida ya saa nne na robo nikawa niko home,baada ya kula na kuoga,nikapanda kitandani kulala,maajabu nikashituka muda wa saa tisa usiku baada ya kusikia mbu wananiuma,kuangalia nikajikuta niko dining room juu ya meza ya chakula.

Hadi sasa sielewi nini kilinipata hadi kuwa pale.Sijafanya maamuzi yoyote mpaka sasa kama kwenda kwa mganga au kuombewa,lakini niko safi wala hamna panapouma wala nilipochanjwa!

Naomba mawazo yenu wanaJF.
 
jamaa wanaku bep muone mshana jr.au weka malimao 7 na sindano 7 kama yule jamaa alivyosema.

swissme

swissme
 
Ulikunywa pombe? Kama jibu ni ndio basi ulilala hapo ukajisahau, kama jibu sio bac tafuta Damu takatifu ya Yesu ili itakase nyumba yako
 
mimi ni mfanyakazi,jana niliingia shift ya saa nane mchana na kutoka saa nne usiku,mida ya saa nne na robo nikawa niko home,baada ya kula na kuoga,nikapanda kitandani kulala,maajabu nikashituka muda wa saa tisa usiku baada ya kusikia mbu wananiuma,kuangalia nikajikuta niko dining room juu ya meza ya chakula,hadi sasa sielewi nini kilinipata hadi kuwa pale.sijafanya maamuzi yoyote mpaka sasa kama kwenda kwa mganga au kuombewa,lakini niko safi wala hamna panapouma wala nilipochanjwa!naomba mawazo yenu wana jf
Utakuwa uliipiga ile kitu inaitwa Capten Morgan!!!
 
Ulikunywa pombe? Kama jibu ni ndio basi ulilala hapo ukajisahau, kama jibu sio bac tafuta Damu takatifu ya Yesu ili itakase nyumba yako


Mkuu mbona kwenu kila kitu ni utani?? Aitafute duka gani au kilabu gani wanachemsha kisusio?
 
mimi ni mfanyakazi,jana niliingia shift ya saa nane mchana na kutoka saa nne usiku,mida ya saa nne na robo nikawa niko home,baada ya kula na kuoga,nikapanda kitandani kulala,maajabu nikashituka muda wa saa tisa usiku baada ya kusikia mbu wananiuma,kuangalia nikajikuta niko dining room juu ya meza ya chakula,hadi sasa sielewi nini kilinipata hadi kuwa pale.sijafanya maamuzi yoyote mpaka sasa kama kwenda kwa mganga au kuombewa,lakini niko safi wala hamna panapouma wala nilipochanjwa!naomba mawazo yenu wana jf

Muone RSM wako umuulize kwanini ameamua kukufanya hayo mambo wakati kazini unaingia kwa mujibu wa ratiba
 
Back
Top Bottom