Najaribu kuwaza mchungaji wa watu anahubiriii kwa ustadi unamsikiliza kwa makini, ghafla ibilisi anaingilia kati anakuletea tunda umege, kitendo bila hofu huyoooo..... Baadaye mtu analeta simulizi with cofidence, na anawaathiri wengine kwa kuwapandisha hisia kali za kungonoka.....Kweli kazi ipo kweye hizi ndoa zetu.
Evelyn Salt poleeeeeeeee....
usaidiwe...
If a man commits adultery with the wife of his neighbor, both the adulterer and the adulteress shall surely be put to death"
- Leviticus 20:10
"Flee fornication. Every sin that a man does is without the body; but he that commits fornication sins against his own body"
- 1 Corinthians 6:18
Sina hata nguvu za kukemea kwakweli...
Kila mla cha mwenzie na chake huliwa, poleni sana, ukimega mke wa mwenzio jua na wako anamegwa!
Naomba nikiri tu,hiyo aya ya mwisho imenipa nyegge...
Sista upo? Evelyn Salt kanifurahisha sanaKaleta mvurugano tu humu wakaka wamechomolea mashati na kina sie pichu zimelowa. habari ndo hiyo admin wangu
tena siyo kazi nyepesi........
habari za masiku besti, mzima wewe?
naona umeamua kutupa mwanya tufurahi..........
Mh! Ngoja mmewe apite hapa.
Hahahaa. Aisee! Ni hatareeee!!!
Sema kuna wakati mwingine shetani huwa tunalisingizia sema tu lilivyo lijinga haliwezi kukanusha linajichukkulia tu maujiko.
Unajua maandiko yanasena katika kitabu cha Yakobo "Mtu hujaribiwa na TAMAA yake mwenyewe, nayo tamaa ikiishachukua mimba huzaa dhambi, nayo dhambi ikishakomaa huzaa mauti"
Kwa hiyo lishetani lingekua JF lazima lingeshatoa karipio kali lisihusishwe kwenye hili tukio tatanishi la kumtoa mtu ibadani akangonoke.
Sasa kapimeni UKIMWI.
Hayo kwa nyinyi wala hatuoni ajabu ikiwa wachungaji wanabandua mpaka kondoo wachanga sasa nyinyi kondoo mliokubuhu tutegemee ni zaidi ya kuambukizana magonjwa ya zinaa?
Mungu aniepushe kabisa na dhambi ya kutembea na mke wa mtu...