Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Mawazo una ac feki nyingi kama lema na na nyerere
Mkuu pole na maumivu ya Sombetini
Mawazo una ac feki nyingi kama lema na na nyerere
mkuu,mawazo anatafuta umaarufu kwa nguvu, eti na yeye anamuiga mwehu lema ili akubalike kwa wahafidhina wa kaskazini, amepewa ofa ya kugombea ubunge kanda ya ziwa na wenye chama mbowe na lema
Wananchi wako Upande Mmoja - DAFTARI LA UCHAGUZI Liko Upande Mwingine...
Nchi yetu Mwenye haki hana VOICE...
Acha uongo wewe chadema ndiyo wanyonyaji wakubwa.Chadema waendelee kutoa elimu ya uraia kalenga. Wana kalenga wamenyonywa na maccm kwa muda mrefu sana! Ccm inatumia udhaifu wa wananchi wa vijijini ili kuendelea kutawala! Ccm imediriki hata kurithisha ubunge kwa mtoto wa marehemu mgimwa ikiamini wanakalenga si chochote! Jambo hili lingefanyika sehemu nyingine ccm wangepata kipigo cha mbwa mwizi kwenye uchaguzi huu! Wana kalenga amkeni! Kumekucha.
Wewe unadhani watu wote wanaitwa lyimo.Picha nyingi ninazoziona za mikutano ya CDM ni za mtaji wa 2015-2020 kama daftari litaboreshwa.