The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Last edited by a moderator:
.... Mkuu, Wanajua Kuchakachua Hao.! We Acha Tu. Mi Sina Hata Hamu Ya Kupga Kura
Kambebe mgongoni
Wanajuwa haitapita hata kwa dawa ole wao! Wamesoma alama.za nyakatiWastaafu
Mkapa
Warioba
Malecela
Msuya
Salim
Salmin
Karume
wako wapiiiii ...siwaoni uwanjani ...
Wastaafu
Mkapa
Warioba
Malecela
Msuya
Salim
Salmin
Karume
wako wapiiiii ...siwaoni uwanjani ...
Kura yngu ikipotea au kuibiwa lazima mtu afe.... Mkuu, Wanajua Kuchakachua Hao.! We Acha Tu. Mi Sina Hata Hamu Ya Kupga Kura
hawawezi kufanikiwa kuiba tena tutalinda kura zetu wenyewe
Hii siyo dalili njema kwa JK,ila ndiyo malipo ya unafiki.
Vipi hata EDO hayupo meza kuu?
Hii imekaaje JK kupokea katiba ya Sitta usiku wa Mola? Yupo live tv na redio.
Kura yngu ikipotea au kuibiwa lazima mtu afe
huwezi kukuta padre au askofu wa kanisa katoliki ktk upumbafu wa leo
wanajitambua sana wale
watakuwepo wachungaji na maaskofu njaa kali tu!
.... Utafanyaje Sasa Mkuu, Utajiripua?