Lowassa ndio anaingia Tunduma, kifupi Tunduma imezizima.
Na uwe wa kwanza kunukishwa.
25 oktoba uchaguzi mkuuuHata wewe hujanielewa. ikifika Oct 25 utanielewa namaanisha nini.
Eti wamekesha!!! Watu wametoka sehemu za mbali kuja kuhudhuria huo mkutano hawana pa kulala wameona walale uwanjani wewe unasema wamekesha???
Hao hawana hata hela za guest wakaona walale uwanjani.Usanii mwingine wa Lowasa na timu yake.
Tuna taarifa wengi wametoka hadi mbeya mjini na Kyela kuja tunduma mkutanoni na wa Tunduma wataondoka pia kwenda mbeya mjini kuhudhuria mkutano atakaofanya Lowasa
Eti wamekesha!!! Watu wametoka sehemu za mbali kuja kuhudhuria huo mkutano hawana pa kulala wameona walale uwanjani wewe unasema wamekesha???
Hao hawana hata hela za guest wakaona walale uwanjani.Usanii mwingine wa Lowasa na timu yake.
Tuna taarifa wengi wametoka hadi mbeya mjini na Kyela kuja tunduma mkutanoni na wa Tunduma wataondoka pia kwenda mbeya mjini kuhudhuria mkutano atakaofanya Lowasa
Lowassa ndio anaingia Tunduma, kifupi Tunduma imezizima.