Tupo ndani ya uwanja wa amani, uwanja umejaa na umependeza tutawaletea matukio yote. viongozi mbali mbali wameshakuwepo
COW wametokelezea ?
Ule Umoja wa Kitaifa upo wapi au ni wa kwenye ulaji tu serikalini?Nipo naangalia sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar lakini nimeshangazwa kuona sherehe zimetawaliwa na bendera za CCM utafikiri ni sherehe za CCM. Je hizi sherehe haziwahusu waumini na wanachama wa vyama vingine? Ni aibu kwa serikali kushindwa kutofautisha sherehe za kitaifa na zile za Kichama.
Nipo naangalia sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar lakini nimeshangazwa kuona sherehe zimetawaliwa na bendera za CCM utafikiri ni sherehe za CCM. Je hizi sherehe haziwahusu waumini na wanachama wa vyama vingine? Ni aibu kwa serikali kushindwa kutofautisha sherehe za kitaifa na zile za Kichama.