Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,321
Don't Try This At Home/School/Church/Mosque/Or Everywhere!!!! PLEASE!!!
I'm WWE SUPERSTAR Dolph Ziggler
No qn of my show !
I'm " " " RANDY ORTON
Don't Try This At Home/School/Church/Mosque/Or Everywhere!!!! PLEASE!!!
Nakushauri tuma tu hiyo 20000, hata mimi mwanzo nilijawa na wasiwasi, lakini hivi sasa mambo yangu yajayo yote nayajua
Ndugu zangu natumai hamjambo' jana ucku mnamo wa saa 3 ucku ivi, alikuwepo jamaa mmoja anajiita mtumishi wa bwana, yani ilikuwa ivi, alikuwa anapokea cm za watu mbalimbali kupitia redioni na kuanza kuwatajia au kuwatabiria mambo yanayowasibu katk maisha yao, cha kushangaza sasa....! Huyu mtumishi alitoa namba zake za cm ila unapompigia kabla hajakwambia ki2 chochote lazima utume kwanza tsh 20000, je kuna yoyote mwenye details za huyu mtumishi anijuze kabla cjatuma hiyo hela yangu ili nipate utabiri wa maisha yangu yatakavyokuwa hapo bdae? Pls utani ukae pembeni, nawakilisha
huyo mungu anayemtumikia si huyu alietuumba.... Kama kweli unamjua mungu huna haja ya kutabiriwa yajayo bali kitabu kitakuongoza.......ndugu zangu natumai hamjambo' jana ucku mnamo wa saa 3 ucku ivi, alikuwepo jamaa mmoja anajiita mtumishi wa bwana, yani ilikuwa ivi, alikuwa anapokea cm za watu mbalimbali kupitia redioni na kuanza kuwatajia au kuwatabiria mambo yanayowasibu katk maisha yao, cha kushangaza sasa....! Huyu mtumishi alitoa namba zake za cm ila unapompigia kabla hajakwambia ki2 chochote lazima utume kwanza tsh 20000, je kuna yoyote mwenye details za huyu mtumishi anijuze kabla cjatuma hiyo hela yangu ili nipate utabiri wa maisha yangu yatakavyokuwa hapo bdae? Pls utani ukae pembeni, nawakilisha
Nakushauri tuma tu hiyo 20000, hata mimi mwanzo nilijawa na wasiwasi, lakini hivi sasa mambo yangu yajayo yote nayajua
achana na ujinga huo,kanywe bia hiyo 20000.
Ndugu zangu natumai hamjambo' jana ucku mnamo wa saa 3 ucku ivi, alikuwepo jamaa mmoja anajiita mtumishi wa bwana, yani ilikuwa ivi, alikuwa anapokea cm za watu mbalimbali kupitia redioni na kuanza kuwatajia au kuwatabiria mambo yanayowasibu katk maisha yao, cha kushangaza sasa....! Huyu mtumishi alitoa namba zake za cm ila unapompigia kabla hajakwambia ki2 chochote lazima utume kwanza tsh 20000, je kuna yoyote mwenye details za huyu mtumishi anijuze kabla cjatuma hiyo hela yangu ili nipate utabiri wa maisha yangu yatakavyokuwa hapo bdae? Pls utani ukae pembeni, nawakilisha