YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

Kweli ukawa wamepanic, wanatoka povu tu mara ni diamond mara wema!Tulieni dawa iwaingie si mlikuwa mnaonyesha mafuriko sasa mmekumbana na Tufani!

ukawa wanamnadi mgombea fisadi ndiyo maana wamechanganyikiwa kabisa hawajui watasafisha vipi hili fisadi lao.
 
But kiukweli watu wa jana may b nusu ya ukawa.. ukawa no vitii.. ni mtu na mtu.. viti jana vilikula space sana xo vimesaidia kujaza mafuriko
 
Kweli ukawa wamepanic, wanatoka povu tu mara ni diamond mara wema!Tulieni dawa iwaingie si mlikuwa mnaonyesha mafuriko sasa mmekumbana na Tufani!

Sasa pale tufani ilikuwa wapi, acheni kujidanganya angalieni ukweli..........kwa jinsi munavyoshupaza shingo utadhani ccm ndio chama cha upinzani, mlitakiwa msiwe na hofu na ili CCM ijipime vizuri msingekodi yale malori pale kusomba watu wala kuleta wasanii.......hapo mngejua mnakubalika kiasi gani.......au hukuona mtiti wa UKAWA siku jamaa anaenda kuchukua fomu na ilikuwa siku ya kazi......sasa subiri kwenye kampeni maana itakuwa jumapili, halafu tukutane hapa.
 
Sisi UKAWA kama wale nyumbu wa Serengeti, tumeumia sana na campaign ya jana ya CCM. Hatukudhani kama CCM bado inamashabiki wengi kiasi hicho. Tulikuwa tunawatisha watu na mafuriko yetu na kuwaaminisha WATANZANIA sasa wameichoka CCM. Sasa yaliyotokea jana yanadhidi kutupa kazi kubwa ya kufanya. Kwa yaliyotokea jana, tunawadanganya vipi tena hawa WATANZANIA. Je tuitupe karata yetu ya mwisho ya KINGUNGE? Kwani tulipanga KINGUNGE ahame CCM mwishoni ilikuchangamsha mambo? Vipi sasa tuitupe hiii karata mapema?

Pamoja na hayo mgombea wa CCM ana nguvu na ari ya kuibadilisha nchi. Anaongea sera tu. Maneno yake yanaingia mpaka kwenye cell za damu. Sasa nikianglia mgombea wetu hata kutaja jina la mke wake ni kazi kubwa. Anaishia kusema tu 'narudia' maneno yale yale. Sasa najiuliza huyu mgombea wetu wa UKAWA ataweza kweli kuhutubia na kujenga hoja kwa angalau dakika 15? Sijui... lakini nimehakikishiwa kuwa yule dakatari wake wa Ujerumani amekuja na sindano nyingi tu za kumchoma ili awe fit. Kwa hiyo ni matumaini yangu atahutubia kwa mda kidogo.

Sisi UKAWA bado tunakajiimani hii miezi miwili tutaandikwa sana kwenye magazeti. Iliyobaki heri tuoshe nyota kwa kuuza sura. Ila uhakika wa kushinda Oktoba umeyeyuka kama icecream Za AZAM.

fisiem mnajitekenya,ukawa hawawez kushtuka na kampani za kila miaka mnafanya hayo hayo ndo maana mnaitwa zilipendwa kwann hamna ubunifu?
 
Bado hadi leo hamjajua tatizo ni nini? Watanzania hawapendi mfumo ccm. Mfumo huu una watu wachache wanafaidika Tanzania na kukiwemo
wahindi na waarabu ktk kisingizio cha ccm. Wamezichukua fulsa na rasilimali za nchi kuwa mali zao. Wanasoma shule nzuri, Wanatibiwa vizuri, Wana maji, Kazi nzuri kwa watoto wao. Njia za kumsaidia maskini ambaye ni mkulima wanaziminya kwa manufaa yao. Ndio maana reli na usafiri wa majini hauwezi kukopewa pesa kama wanavyokopea barabara. Wameweka vyombo vyote vya dola mikononi mwao hivyo wanakula rushwa Takukuru wala polisi hawakamati. Wanafisadi na ubadhirifu mbalimbali wanasamehewa. Hawa ndio tunataka waondoke.
Kila mwaka wana ngonjera zao hizihizi. Mwisho wa siku Hawaeleweki.
Visingizio kibao,: Sasa huyu ccm anajipya gani?
 
we mpumbavu ulikuwa ccm tangu lini we lofa kweli endelea na bavicha lenu na wapumbavu wenzenu.
Like father like son.

Inaelekea ukishakuwa ni gamba matusi ni kama hulka na hayo matusi yanakuwa yapo damuni mwenu.
 
Huku Mbeya begi za ukawa zinagombaniwa sana kila mtu anataka kuvaa,vituo vyote vya daladala zinauzwa kama njugu,Watu wanadai wamefedheheshwa sana na matusi ya Mkapa!
 
Tunawavumilia kwa kauli zenu mbovu ila hatutawavulia kwenye Ballot Box, LOWASSA hashikiki!
 
Si uongo wote walitoka ccm labda aliye zaliwa baada ya vyama vingi. Wazee bwana wameishiwa sera . Hata madhehebu mengi ya kikristo yalikuwa na shina moja katoriki. Lakini waliotofautiana wengine wakajlipua na kuanzisha mruterani, mamoravia n.k so sijipya na uwez u wakupambanuana kuelewa.lol!
 
Sisi UKAWA kama wale nyumbu wa Serengeti, tumeumia sana na campaign ya jana ya CCM. Hatukudhani kama CCM bado inamashabiki wengi kiasi hicho. Tulikuwa tunawatisha watu na mafuriko yetu na kuwaaminisha WATANZANIA sasa wameichoka CCM. Sasa yaliyotokea jana yanadhidi kutupa kazi kubwa ya kufanya. Kwa yaliyotokea jana, tunawadanganya vipi tena hawa WATANZANIA. Je tuitupe karata yetu ya mwisho ya KINGUNGE? Kwani tulipanga KINGUNGE ahame CCM mwishoni ilikuchangamsha mambo? Vipi sasa tuitupe hiii karata mapema?

Pamoja na hayo mgombea wa CCM ana nguvu na ari ya kuibadilisha nchi. Anaongea sera tu. Maneno yake yanaingia mpaka kwenye cell za damu. Sasa nikianglia mgombea wetu hata kutaja jina la mke wake ni kazi kubwa. Anaishia kusema tu 'narudia' maneno yale yale. Sasa najiuliza huyu mgombea wetu wa UKAWA ataweza kweli kuhutubia na kujenga hoja kwa angalau dakika 15? Sijui... lakini nimehakikishiwa kuwa yule dakatari wake wa Ujerumani amekuja na sindano nyingi tu za kumchoma ili awe fit. Kwa hiyo ni matumaini yangu atahutubia kwa mda kidogo.

Sisi UKAWA bado tunakajiimani hii miezi miwili tutaandikwa sana kwenye magazeti. Iliyobaki heri tuoshe nyota kwa kuuza sura. Ila uhakika wa kushinda Oktoba umeyeyuka kama icecream Za AZAM.

Acha utoto inaonyesha wazi wewe ni ccm ya miaka 54 isiotoa majibu ya matatizo ya wananchi na bado mnaendelea kutoa ahadi zisizotekelezeka.watanzania waliwaamini kwa 54 years ila mmewalet down mno.Leo baada ya miaka 54 mnatoa ahadi ya kujenga dispensary hivi wale waliokufa kwa sababu ya kukosa matibabu mtawajibu nini.Kaa chini jitafakari vizuri.
 
Kwa hiki tabia yako nmekufananisha na Panya buku unang'ata na kupuliza thread yako imekaa kishskunaku tukutane October
 
Sisi UKAWA kama wale nyumbu wa Serengeti, tumeumia sana na campaign ya jana ya CCM. Hatukudhani kama CCM bado inamashabiki wengi kiasi hicho. Tulikuwa tunawatisha watu na mafuriko yetu na kuwaaminisha WATANZANIA sasa wameichoka CCM. Sasa yaliyotokea jana yanadhidi kutupa kazi kubwa ya kufanya. Kwa yaliyotokea jana, tunawadanganya vipi tena hawa WATANZANIA. Je tuitupe karata yetu ya mwisho ya KINGUNGE? Kwani tulipanga KINGUNGE ahame CCM mwishoni ilikuchangamsha mambo? Vipi sasa tuitupe hiii karata mapema?

Pamoja na hayo mgombea wa CCM ana nguvu na ari ya kuibadilisha nchi. Anaongea sera tu. Maneno yake yanaingia mpaka kwenye cell za damu. Sasa nikianglia mgombea wetu hata kutaja jina la mke wake ni kazi kubwa. Anaishia kusema tu 'narudia' maneno yale yale. Sasa najiuliza huyu mgombea wetu wa UKAWA ataweza kweli kuhutubia na kujenga hoja kwa angalau dakika 15? Sijui... lakini nimehakikishiwa kuwa yule dakatari wake wa Ujerumani amekuja na sindano nyingi tu za kumchoma ili awe fit. Kwa hiyo ni matumaini yangu atahutubia kwa mda kidogo.

Sisi UKAWA bado tunakajiimani hii miezi miwili tutaandikwa sana kwenye magazeti. Iliyobaki heri tuoshe nyota kwa kuuza sura. Ila uhakika wa kushinda Oktoba umeyeyuka kama icecream Za AZAM.
Likada linajiita ukawa kawanafikie watu unaofanana nao!?
 
Ccm wamepaniki mpaka huruma,hawaelewi chama kinaelekea wapi. Kama ukawa ni ccm B kwa nini watumie mda mwingi kujitukana ccm B mana inaonyesha wao ndo wameitengeneza. Nawaonea sana huruma ccm na hii ndo inaonyesha wamekosa sera wanaishia kutukana tu.
Mkapa kajishushia hadhi balaaa..
ccm wanatakiwa watoe majibu ya radar, epa,escrow,richmond na madudu mengine mengi. Lowasa keshasema richmond ya Kikwete basi nilitegemea jana waijibu ila wameishia kutukana tu
 
Sisi UKAWA kama wale nyumbu wa Serengeti, tumeumia sana na campaign ya jana ya CCM. Hatukudhani kama CCM bado inamashabiki wengi kiasi hicho. Tulikuwa tunawatisha watu na mafuriko yetu na kuwaaminisha WATANZANIA sasa wameichoka CCM. Sasa yaliyotokea jana yanadhidi kutupa kazi kubwa ya kufanya. Kwa yaliyotokea jana, tunawadanganya vipi tena hawa WATANZANIA. Je tuitupe karata yetu ya mwisho ya KINGUNGE? Kwani tulipanga KINGUNGE ahame CCM mwishoni ilikuchangamsha mambo? Vipi sasa tuitupe hiii karata mapema?

Pamoja na hayo mgombea wa CCM ana nguvu na ari ya kuibadilisha nchi. Anaongea sera tu. Maneno yake yanaingia mpaka kwenye cell za damu. Sasa nikianglia mgombea wetu hata kutaja jina la mke wake ni kazi kubwa. Anaishia kusema tu 'narudia' maneno yale yale. Sasa najiuliza huyu mgombea wetu wa UKAWA ataweza kweli kuhutubia na kujenga hoja kwa angalau dakika 15? Sijui... lakini nimehakikishiwa kuwa yule dakatari wake wa Ujerumani amekuja na sindano nyingi tu za kumchoma ili awe fit. Kwa hiyo ni matumaini yangu atahutubia kwa mda kidogo.

Sisi UKAWA bado tunakajiimani hii miezi miwili tutaandikwa sana kwenye magazeti. Iliyobaki heri tuoshe nyota kwa kuuza sura. Ila uhakika wa kushinda Oktoba umeyeyuka kama icecream Za AZAM.

Mi mwenyewe nilikuwepo kumfatilia demu wangu, nikajikuta nasikiliza wimbo wa wataisoma, huo wimbo huwa naupenda.

Lakini kura yangu ni UKAWA.
 
Kweli ukawa wamepanic, wanatoka povu tu mara ni diamond mara wema!Tulieni dawa iwaingie si mlikuwa mnaonyesha mafuriko sasa mmekumbana na Tufani!
Diamond anakulegeza we we tuu.wengine hapa tulikuwa mashabiki wakubwa wa Bob Marley .lakini hatukua tunavuta bangi kama yeye.
 
Back
Top Bottom