makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 882
Leo Jumamosi 26/9/2015 ni zamu ya Hai Kilimanjaro Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA(UKAWA) yuko Mkoani Kilimanjaro katika Jimbo la Hai akiendelea kuinadi Ilani ya Uchaguzi ya CHADEMA
#Mabadiliko2015
#Mabadiliko2015