Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
maneno ya Lembeli ni sumu kwa ccm View attachment 270247
..! mkutano wa cdm unahujumiwa na tanesco
Lile fisadi lenu ndiyo mnaenda kulitangaza kugombea.
Leo uko zamu kwenye hii thread mkuu?Chadema badala ya kueleza kitawafanyia nini watanzania wanaeleza Dr.Magufuli kawanyima mahindi wasukuma.
Napita tu.... :car:
Mikutano ya CHADEMA huwa inajaa wahuni wa kutosha. Ila kura za CHADEMA kwenye uchaguzi huwa hazijai hata siku moja.
Lowasa yupo?
Hakuna kipya kwenye huu mkutano zaidi ya Ester na Halima kuwa na furaha