Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
Yaani ni aibu. Anazoom kwa watu wachache waonekane wengi.
Mtasema yote magamba kumbe mpo live mtafuatilia safi sana
Yaani ni aibu. Anazoom kwa watu wachache waonekane wengi.
Ccm oyeeeeee!yan mkutano hauna watu kabisa,,
Tunaomba mda wanaanza saa ngapi ili tukae mkao wa TV karibu
kuna itv ngapi jaman hii nayoijua mie naona matangazo tuu
Daaa sauti hakuna tunaona mapichapicha tu uwiiiiiiiiii
Kuna hujuma kwenye sauti