Hahaa pole sana mpaka sasa sipo nyumbani TZ hivyo usifananishe kiivyo namuita mbowe ZERO kwani hata elimu namshinda japo ananishinda ufisadi wake pesa yakula si hoja ongelea mengine
Kutokuwa TZ siyo hoja hata nakonde siyo tz, hata uk watu wanazamia, jenga hoja kama Elimu ni dili ktk uongozi basi nchi hii tusingikuwa masikini mana wizara nyingi zinaongozwa na madaktari na professors lakini ndio tunazid kuwa masikini kwahiyo usituambie eti unamshinda Elimu mbowe , kazi aliyo ifanya Tz ni yakuigwa ccm wenyewe wanaikubali inawafanya wasilele , wewe unatutishia elimu tena unaweza kukuta una just bachelor tena ya sociology, watu wana MSC in laws,medicine, Agronomy but wanaikubali kazi yake. You must have problem kauli.yako tu inaonesha hauna elimu