Yaliyojiri Mahakamani kwenye kesi ya Lwakatare

Status
Not open for further replies.
:A S 39: Sijui...kwa ukwasi wa Wassira,Nape na Nchemba sijui kama wataweza ila Mungu yupo..upande wa wamwitao kwa jina la utatu na wote wamwaminio Allah..!!!Tutayashida ya nguvu za giza.
 
Mawakili wanaomtetea Lwakatare katika kesi no 14 ya mwaka 2013 wamemwomba hakimu wa Mahakama kuu kutupilia mbali mashtaka yaliyowasilishwa na kusema kuwa kesi hiyo si ya Ugaidi.
Jionee

Ukweli hauumbwi unatafutwa. Hili litakuwa pigo jingine kwa CCM na washirika wake.
CHADEMA tv - YouTube
 
Wasiwasi wangu ni endapo CCM haitaingilia uhuru wa mahakama kuu kama ilivyofanya mahakama ya kisutu.
Kila tukio linashusha umri wa CCM kuishi geometrically.
 
Mawakili wanaomtetea Lwakatare katika kesi no 14 ya mwaka 2013 wamemwomba hakimu wa Mahakama kuu kutupilia mbali mashtaka yaliyowasilishwa na kusema kuwa kesi hiyo si ya Ugaidi.
Jionee

Ukweli hauumbwi unatafutwa. Hili litakuwa pigo jingine kwa CCM na washirika wake.
CHADEMA tv - YouTube

Video evidence is a lot like nitroglycerin: Properly handled, it can demolish an opposing counsel's case. Carelessly managed, it can blow up in your face.
For this reason, those offering video evidence need to use it with the greatest of care. Meanwhile, those trying to oppose such evidence should be meticulous in their attack, because there are ways that such evidence can be legitimately challenged as irrelevant, inaccurate, unfair, unauthenticated, and prejudicial, and thereby excluded from evidence.
 
Video evidence is a lot like nitroglycerin: Properly handled, it can demolish an opposing counsel's case. Carelessly managed, it can blow up in your face.
For this reason, those offering video evidence need to use it with the greatest of care. Meanwhile, those trying to oppose such evidence should be meticulous in their attack, because there are ways that such evidence can be legitimately challenged as irrelevant, inaccurate, unfair, unauthenticated, and prejudicial, and thereby excluded from evidence.

The video tabled in court is already on youtube for couple of weeks NOW before the court to have a chance to look at it how it can be authentic on integrity of evidence?
 
Kurugenzi ya Habari, Kwa faida ya sisi tunaotumia kitu ya kichina tafadhali tuandikie summary ya kilichozungumzwa.
Maelezo ya Tundu Lissu baada yakutoka mahakamani ambapo kesi ya Lwakatare iliendeshwa kwenye Chamber yaMahakama.Lissu: Tusikilizane!! NaombatusilizaneNaomba kwa niaba ya timuLwakatare niwashukuru wote mliofika hapa kutuunga mkono na kumuunga mkono Kamandawetu Wilfred Muganyizi Lwakatare.

Kama tulivyosema wakati kesi hii inafunguliwaya kwamba Lwakatare atapata utetezi wote unaostahili. Atapata utetezi woteutakaothibitisha kwamba hana hatia yoyote. Tumetoka kusikiliza maombi tuliyoletaMahakama Kuu kuomba Mahakama kufutamashauri yaliyofunguliwa dhidi Wilfred Lwakatare. Na niseme tu kwamba sisemi kesi itaamuliwaje, ila naomba niseme hoja ambazo tumezizungumza mbele ya Jaji muda mfupi uliopita.

Wilfred Lwakatare alishitakiwa tarehe 18 na siku hiyo hiyotukatoa hoja za kisheria kwamba hayo mashtaka hayakuwa na mashiko, na upande wawashtaki wakajibu hoja zetu, na mahakama ikaweka tareheya kutoa uamuzi wake juuya hoja zetu. Lakini badala ya kuiruhusu Mahakama itoe uamuzi, Waendeshamashtaka upande wa serikali kesho yake wakafuta hati ya mashtaka waliyofunguatarehe 18, dakika hiyo hiyo wakamkamata, dakika iliyofuta wakamfunguliamashtaka ya aina hiyohiyo wakayapeleka kwa Hakimu mwingine; Na kwetu sisi huoni mfano wa wazi wa matumizi mabaya ya mamlaka ya Mwendesha mashtaka waserikali wa mamlaka ya kufuta mashtaka. Sheria zetu zinasema DPP anapofutamashtaka lazima afanye hivyo

1. Kwalengo la kutenda haki

2. Kuzuiamatumizi mabaya ya mfumo wa Mahakama

3. Kwamanufaa ya Umma

Kufuta mashtaka na kuyafungua yale yale hakuna lengo la kutenda haki, kuzuia matumizi mabaya ya mfumo waMahakama wala manufaa ya Umma, kwasababu hiyo basi tumeiomba Mahakama Kuuiyafutilie mbali mashtaka dhidi ya Lwakatare. Lakini kuna jambo lingine; Kamamlivyoona Wilfred Lwakatare ametoka hapa akiwa na pingu mkononi, ameshtakiwakwa makosa ya ugaidi, Sheria yetu ya ugaidi inasema mtu anayeshtakiwa kwa kosala kutenda mkutano wa kigaidi, huo mkutano wa kigaidi unatakiwa uwe na watuwatatu au zaidi.

Lwakatare ameshtakiwa na mtu anaitwa Joseph Ludovick Lwezaura;walikuwa wawili. Mkutano wa kigaidi sheria inasema uwe na watu watatu au zaidi,"Hakukuwana Mkutano wa kigaidi". Na sheria hiyohiyo inasema kwamba mashtaka yakigaidi lazima hati ya mashtaka ionyeshe lengo la kigaidi, hati ya mashtakadhidi ya Lwakatare haionyeshi lengo la kigaidi.

Kwa sababu hizo tumeiombaMahakama Kuu ifute mashtaka ya Kisutu, Wilfred Lwakatare arudi kwenye familiayake na arudi kwenye Chama chake tuendeleze mapambano.

Nawashukuruni sana.
 

  • Nimefanya uhariri kidogo bila kubadili cho chote ila mpangilio tu ili kusomeka vizuri, asante mleta mada
Maelezo ya Tundu Lissu baada yakutoka mahakamani ambapo kesi ya Lwakatare iliendeshwa kwenye Chamber yaMahakama.Lissu: Tusikilizane!!
NaombatusilizaneNaomba kwa niaba ya timuLwakatare niwashukuru wote mliofika hapa kutuunga mkono na kumuunga mkono Kamandawetu Wilfred Muganyizi Lwakatare.
Kama tulivyosema wakati kesi hii inafunguliwaya kwamba Lwakatare atapata utetezi wote unaostahili. Atapata utetezi woteutakaothibitisha kwamba hana hatia yoyote.

Jopo la watetezi wa Rwekatare waiomba mahakama kufuta kesi

Tumetoka kusikiliza maombi tuliyoletaMahakama Kuu kuomba Mahakama kufutamashauri yaliyofunguliwa dhidi Wilfred Lwakatare. Na niseme tu kwamba sisemikesi itaamuliwaje, ila naomba niseme hoja ambazo tumezizungumza mbele ya Jajimuda mfupi uliopita.

Mwendesha Mashtaka kuchezea mamlaka za mahakama
Wilfred Lwakatare alishitakiwa tarehe 18 na siku hiyo hiyotukatoa hoja za kisheria kwamba hayo mashtaka hayakuwa na mashiko, na upande wawashtaki wakajibu hoja zetu, na mahakama ikaweka tareheya kutoa uamuzi wake juuya hoja zetu.

Lakini badala ya kuiruhusu Mahakama itoe uamuzi, Waendeshamashtaka upande wa serikali kesho yake wakafuta hati ya mashtaka waliyofunguatarehe 18, dakika hiyo hiyo wakamkamata, dakika iliyofuta wakamfunguliamashtaka ya aina hiyohiyo wakayapeleka kwa Hakimu mwingine; Na kwetu sisi huoni mfano wa wazi wa matumizi mabaya ya mamlaka ya Mwendesha mashtaka waserikali wa mamlaka ya kufuta mashtaka.

Hoja za kuifuta kesi

Sheria zetu zinasema DPP anapofutamashtaka lazima afanye hivyo

  1. Kwalengo la kutenda haki.
  2. Kuzuiamatumizi mabaya ya mfumo wa Mahakama.
  3. Kwamanufaa ya Umma
Kufuta mashtaka na kuyafunguayaleyale hakuna lengo la kutenda haki, kuzuia matumizi mabaya ya mfumo wa Mahakama wala manufaa ya Umma kwasababu hiyo basi tumeiomba Mahakama Kuuiyafutilie mbali mashtaka dhidi ya Lwakatare.

Sheria ya ugaidi inavyokinzania na tuko la kushtakiwa Rwekatare

Lakini kuna jambo lingine; Kamamlivyoona Wilfred Lwakatare ametoka hapa akiwa na pingu mkononi, ameshtakiwakwa makosa ya ugaidi, Sheria yetu ya ugaidi inasema mtu anayeshtakiwa kwa kosala kutenda mkutano wa kigaidi, huo mkutano wa kigaidi unatakiwa uwe na watuwatatu au zaidi.

Lwakatare ameshtakiwa na mtu anaitwa Joseph Ludovick Lwezaura;walikuwa wawili. Mkutano wa kigaidi sheria inasema uwe na watu watatu au zaidi,"Hakukuwana Mkutano wa kigaidi".
Na sheria hiyohiyo inasema kwamba mashtaka yakigaidi lazima hati ya mashtaka ionyeshe lengo la kigaidi, hati ya mashtakadhidi ya Lwakatare haionyeshi lengo la kigaidi.

Kwa sababu hizo tumeiombaMahakama Kuu ifute mashtaka ya Kisutu, Wilfred Lwakatare arudi kwenye familiayake na arudi kwenye Chama chake tuendeleze mapambano. Nawashukuruni sana.

 
Nimeupenda huu umoja wa wanachadema. Kweli kabisa pamoja na changamoto zote, CHADEMA bado kinabaki kuwa ni chama tishio sana kwa CCM. Siamini kwamba watu wanamoyo wa kukiunga mkono chama chao kiasi hiki. Kwa propaganda za CCM zilivyo, tungetarajia kwamba watu wakate tamaa, lakini naona hali ni tofauti. Mungu atutie nguvu na atutangulie katika kuyafikia mafanikio.
 
Nimeupenda huu umoja wa wanachadema. Kweli kabisa pamoja na changamoto zote, CHADEMA bado kinabaki kuwa ni chama tishio sana kwa CCM. Siamini kwamba watu wanamoyo wa kukiunga mkono chama chao kiasi hiki. Kwa propaganda za CCM zilivyo, tungetarajia kwamba watu wakate tamaa, lakini naona hali ni tofauti. Mungu atutie nguvu na atutangulie katika kuyafikia mafanikio.

Nia ya mbinu zote ni kuwatifua wachanganyikiwe na kuanza kunyoosheana vidole, bora wamegundua na kubaki kitu kimoja. Hata ile isue ya zitto kuhusu simu naona analalamika tu, ukweli kama hakuitumia tangu Julai 2012 ni hakika alishaondolewa kwenye matumizi ya namba hiyo na kampuni ya simu na hivyo kurithishwa mteja mwingine licha ya baadhi ya watu kusema labda alimrudishia Zoka aliyempa. Naona tujaribu kujenga utetezi kwa Zitto pia.
 
Nia ya mbinu zote ni kuwatifua wachanganyikiwe na kuanza kunyoosheana vidole, bora wamegundua na kubaki kitu kimoja. Hata ile isue ya zitto kuhusu simu naona analalamika tu, ukweli kama hakuitumia tangu Julai 2012 ni hakika alishaondolewa kwenye matumizi ya namba hiyo na kampuni ya simu na hivyo kurithishwa mteja mwingine licha ya baadhi ya watu kusema labda alimrudishia Zoka aliyempa. Naona tujaribu kujenga utetezi kwa Zitto pia.

Yote yanawezekana. Inawezekana kweli kwamba ile namba inatumiwa na Zoka, lakini pia inawezekana akina Marando wameamua kutumia diplomatic way ya kumtaja Zitto kwa kutumia namba yake. Maana anakubali kwamba ni rafiki wa Msacky na wakati huo huo Msacky anaonekana yupo kwenye mfumo wa mawasiliano ya karibu na Lwakatare, Ludovick, pamoja na usalama wa taifa. Na pia ukiangalia mawasiliano ya Zitto na Msacky ya tangu mwaka 2012 yaliyoandikwa na gazeti la mwanahalisi inaonyesha wazi huyu Msacky alikuwa anamshauri Zitto kujenga chuki na uongozi wa CHADEMA au kufanya vitu vya kuwakomoa viongozi wa CHADEMA. Mimi ninajiuliza, ni kwa vipi Zitto hamgundui Msacky kwamba ni mnafiki na anafanya kazi ya CCM? Zitto anamjua vizuri Msacky kama si usalama wa Taifa pia?

Inawezekana kwa kiasi fulani Zitto anatumiwa na akina Msacky kukichafua na kukiangamiza CHADEMA bila yeye mwenyewe kujijua au anfanya kazi anayoijua. Kwa kiasi kikubwa sina imani na Zitto, inaonekana anachukuliwa kirahisi sana na upepo. Si ajabu hata habari ya kutangaza kugombea urais alishauriwa na Msacky kama sehemu ya kukivuruga chama.
 
Nia ya mbinu zote ni kuwatifua wachanganyikiwe na kuanza kunyoosheana vidole, bora wamegundua na kubaki kitu kimoja. Hata ile isue ya zitto kuhusu simu naona analalamika tu, ukweli kama hakuitumia tangu Julai 2012 ni hakika alishaondolewa kwenye matumizi ya namba hiyo na kampuni ya simu na hivyo kurithishwa mteja mwingine licha ya baadhi ya watu kusema labda alimrudishia Zoka aliyempa. Naona tujaribu kujenga utetezi kwa Zitto pia.

Sio kweli mkuu,hauwezi kuondolewa hewani kama haujatumia number ya simu from july to date nakataa so long as ulikua una recharge iyo number itadumu. Itadumu miaka mingi bila kutumika unavyo top up na Validity ya ile line ndio inaongezeka,nimefanya kazi kwenye telecom for 10years,I know how things are being done
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom