Yaliyojiri Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa hadi - Nov 10, 2021

hivi ikitokea ametiwa hatiani, adhabu yake ni kifungo cha maisha jela au..........
wanasheria tusaidieni.
 
Mkuu vipi leo hakuna court session?
 
hii kesi inaonekana inaweza kunguruma zaidi ya miaka 2 kabla ya hukumu.
maana hata nusu ya mashahidi upande wa mashitaka bado.
hayo mapingamizi nadhani yanaweza kufika hata 200.
itafika mahali watu ulimi wote utatoka nje!
 
Sawa, lakini ukijua laana ya vitendo inamaumivu makubwa kuliko ya maneno na kuandika, imagine mama anayemulaana mtoto kwa kuvua nguo zake na mama anayeongee tu nimekulaani ni laana ipi itakuwa na nguvu? Na ndicho nilichomaanisha.
Lana kamili ni guilty consciousness ya alietenda. Hayo yatamkwayo kama hayakuingii akilini mwako na hujutii, hata angevua zote hakuna kitu.
 
Kwani amekutwa na shoka la kukatia miti? Au chainsaw?
Wanajua wenyewe bwana lakini kumbuka Sugu na Nyagali walifungwa jela bila kosa na hata hawa akina Mbowe and Co walitiwa hatiani pale Kisutu kwa amri za Magufuli.

Ukweli unabaki pale pale kwamba sasa hivi Tanzania haina mahakama za haki ni kama vile tuna Kangaroo Courts tu.
 
mbowe ni shetani tu hata kama unampenda alitaka kuharibu nchiyetu gaidi
Aliyeharibu nchi ni Yule aliyeamuru uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 wapitishwe mboga mboga nchi nzima, na uchaguzi mkuu 2020 bunge liwe la mboga mboga la wapiga makofi, Cha ajabu hajaona matunda aliyoandaa, akatwaliwa na Mwenye enzi asiyetaka upuuzi.
 
Sawa, lakini ukijua laana ya vitendo inamaumivu makubwa kuliko ya maneno na kuandika, imagine mama anayemulaana mtoto kwa kuvua nguo zake na mama anayeongee tu nimekulaani ni laana ipi itakuwa na nguvu? Na ndicho nilichomaanisha.
Machafuko ya kumwondoa Al Bashir yalianzishwa na msichana tu, hii ilitokana na hasira ya muda mrefu kurundikana kwa watu. Usione hasira dhidicya CCM inarundikana, na ikaja kuwashwa na tukio dogo tu la mkate! Usifurahie hali hii na kuishabikia.
 
Wewe leo unaita " hasira za keyboard", hata Rais wa Sudan aliongea Kama wewe. Unazosema hasira za keyboard zilifumuliwa na msichana mdogo tu nchi nzima ikawaka moto. Uvumilivu una mwisho, CCM kwa Sasa wanachekelea udhalimu unaoendelea, inawezekana wakachekelea kwa muda, lakini hasira za keyboard Kuna siku zitafumuliwa na suala dogo na nchi itawaka na hawataamini. Cha msingi ni kutenda haki, Kama mfumo wetu ni wa vyama vingi, vyote vifanye siasa, siyo kimoja kifanye siasa, vingine hata vikifanya jogging, Polisi hawa hapa....hasha, huko mbeleni, tunaelekea shimoni.
 
Inge kuwa nchi zingine kwa tuhuma kama hizi za Ugaidi Mbowe angesota sana Rumande hata miaka 10 bila kesi kuanza.
angalia Taifa kubwa kama USA kuna watuhumiwa wa makosa ya ugaidi wameshikiliwa huko ktk gereza la Guantanamobay kwa zaidi ya miaka 20.
Mboe yeye kila siku anakuja kutalii mahakamani ashukuru sana Tanzania inafuata utawala wa sheria, ingekuwa nchi zingine angesweka kwanza.
 
Fukuto la kumwondoa Al Bashir lilianzishwa na msichana mdogo tu nchi nzima ikawaka moto, hii ni kutokana na mrundikano wa hasira wa siku nyingi wa raia. Kwa Sasa CCM wanafurahia udhalimu unaoendelea, nchi ya vyama vingi, lakini siasa wanafanya wao tu, vyama vingine hata vikifanya jogging, Polisi hawa hapa.... sanduku la kura haliheshimiwi, kabla ya kupiga kura, CCM tayari wamepata wabunge 80 bila kupingwa! Mahakama wamejaa majaji wa TISS, haya yote CCM wanachekelea, hawajui wanatupeleka shimoni.
 
ni Bora hili Gaidi limedhibitiwa maana linge aachwa lingesababisha hatari kubwa.

mfano mbaya angalia wafuasi wake jinsi walivyo na tabia za kijambazi, wauza madawa, wavuta bangi, yaani ni wakorofi sana, yote hayo walifundishwa na huyo kiongozi wao, ambaye kila kukicha alikuwa naratibu uhalifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unaharisha sana mkuu? Ni vyema ukamuona Dr usije zidiwa.
 
POROJO za LING'WENYA eti anadai alitishiwa silaha
Huko mbeleni usije ukabadilisha ID. Usizidishe mahaba sana kwenye kesi hii ukidhani kuna mtu atafungwa. Hafungwi mtu hapa. Mahakama za Tanzania haipokei ushahidi wa mashoga na wauza mbege. Shoga Power Kaaya na muuza mbege Anita
 
Wakiwemo,Katambi,Mashinji,Jualikali,covid 19.....kweli jamaa ni li gaidi nguli kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…