atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,297
- 9,393
Hilo nalo nenoAmini nawaambieni wema sio mwanasiasa.anasubiri dau lakumrudisha ccm.
Hilo nalo nenoAmini nawaambieni wema sio mwanasiasa.anasubiri dau lakumrudisha ccm.
Hujasikia tamko la majaji kuhusu dhamana ya Lema? Hapo hata Lisu angeshikiliwa tu pamoja na kujuwa mianya ya kisheria.Lema hakutendewa haki.Tatizo la lema shule ni bashite alafu anataka kuiga staili ya tundu lissu!
Mwenzie lissu anaropoka kijanja akitumia mianya ya kisheria akipelekwa mahakamani anapata pa kutokea.
ushauri kwa lema, afanye siasa za maendeleo kwa wana arusha vingnevyo 2020 hatarudi mjengoni.
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema. View attachment 479239 View attachment 479240 View attachment 479240
Bashite kila pahali ila CDM kweli siasa imezidi Muda wote maendeleeo linNi
Bashite haiko CDM hata siku moja
Kwani zamani walikuwa wanawafanya nini dada?Na kwa kuwa viroba vimepigwa marufuku hao vijana sijui watafanya nini leo.
Kwetu huku hakuna rami TarimeHuyo mwenyekiti hovyo kabia
Eti barabara za lami!!
Sasa hivi hadi wilayani kuna barabara za Lami
wapi hakuna lami!!!
Amekosa hoja
Hii nyomii duhMbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema. View attachment 479239 View attachment 479240 View attachment 479240
Wenyewe wanakwambia tunakula CCM tunalala ChademaNaomba kuwauliza Machalii wa Arusha , INA MAANA ZILE PIKIPIKI ALIZOGAWA MRISHO GAMBO MMEAMUA KUMTAPELI ?
Sawa kwani show ya leo starring wetu ni LEMA ama wewe umechagua starring awe Wema?Amini nawaambieni wema sio mwanasiasa.anasubiri dau lakumrudisha ccm.
Na kweli wamelala Chadema. Maana karibu viti vyote vya ubunge, Udiwani na serikali za mitaa viko CCM. Waamsheni watu wenu wapige kura.Wenyewe wanakwambia tunakula CCM tunalala Chadema