Mi pia ni muhanga wa ajira lakini naamini hawezi kuzuiya ajira kwa miaka mitano yoteWale waliosimamishiwa ajira zao wampe mda Rais mpaka baada ya miaka mitano ndio wahoji?
Mi pia ni muhanga wa ajira lakini naamini hawezi kuzuiya ajira kwa miaka mitano yoteWale waliosimamishiwa ajira zao wampe mda Rais mpaka baada ya miaka mitano ndio wahoji?
Lakini hakuna utumbuaji? Mkulu kasema anawaamini kina Mama lakini teuzi zenyewe hazipimiki na wanawake ni wa kutafuta kwa Darubini? Hivi Kilango alimuamini au?Leo Amegusia Uhamiaji Mapato Hayaonekani