mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,842
- 8,230
Lipa kodi kwanza mwambie mwenyekiti wa kule alipe kodi anazodaiwa na NHC hizo ndio husomeshea watoto wetu kama wanakwepa kulipa kodi na kukimbilia mahakamani unadhani serikali itatoa wapi pesa ya kusomeshe watoto wetu,nadhani hata wewe hulipa kodi ndio maana unaloloma tu hapa ,fanya kazi na ulipe kodi watoto watapata mikopo,mikopo haitelemushi kama mana jangwaniAtueleze kwa nini watoto wetu wamekosa mkopo wa elimu ya juu ili hali aliahidi kuwa hakuna mwanafunzi atakaekosa mkopo?