Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,865
- 11,408
Ndiyo mkuuSamahani, Bananga huyu ndiye aliyekuwa Kampeni Meneja wa Lissu?
Ndiyo mkuuSamahani, Bananga huyu ndiye aliyekuwa Kampeni Meneja wa Lissu?
Na wewe usiwe mpumbavu. Unaogopa hata vitu vya kipumbavu. Kesi ni ya wazi. Any person anayetaka anaenda kusikiliza. Unafanya sasa Chadema waonekane wengi wapumbavu. Wanalalamika hata mambo ya kipumbavu tu. Hiyo kesi ni huru si ya kificho kama mtu kaamua akasikilize wewe unaumia nini ?unaoogopa nini? Badala utupe yaliyojili mahakamani tujue hao Covid 19 leo wamepataje Kipigo unatuletea habari za kipumbavu uwepo wa Ally. Uwepo sisi unatuhusu nini?Katika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo.
Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu.
Yako mengi yanayoendelea kwenye viunga hivi, kaeni mkao wa kula.
Huyo Bananga mke wake ni Miongoni mwa COVID 19 na anamtegemea kwa hako kamshahara ka UsalitiKatika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo.
Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu.
Yako mengi yanayoendelea kwenye viunga hivi, kaeni mkao wa kula.
Huyo analishwa na mkewe....vituMlmKatika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo.
Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu.
Yako mengi yanayoendelea kwenye viunga hivi, kaeni mkao wa kula.
Huyu ndiye bananga mwenyewe sasa niliyewaelezea.CCM inapenda sana na kuwajali sana akina mama. Ni mama zetu, dada zetu na wapenzi wetu. Tuko nyuma yao kila walipo. Tunalaani sana chadema kwa kuwanyanyasa akina mama hawa 19. Haki itapatikana tu.
Ukawa ilikuwa ni hatua kubwa na ya pekee kuelekea mapinduzi ya kisiasa Tanzania lakini mabwege wakaiuza kwa bakuli la "supu ya dengu" .
Hatuandiki kibwege kama unavyodhaniNa wewe usiwe mpumbavu. Unaogopa hata vitu vya kipumbavu. Kesi ni ya wazi. Any person anayetaka anaenda kusikiliza. Unafanya sasa Chadema waonekane wengi wapumbavu. Wanalalamika hata mambo ya kipumbavu tu. Hiyo kesi ni huru si ya kificho kama mtu kaamua akasikilize wewe unaumia nini ?unaoogopa nini? Badala utupe yaliyojili mahakamani tujue hao Covid 19 leo wamepataje Kipigo unatuletea habari za kipumbavu uwepo wa Ally. Uwepo sisi unatuhusu nini?
Tumbili alisha tupwa nje na yule dada.
Mungu ibariki CHADEMAKatika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo.
Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu.
Yako mengi yanayoendelea kwenye viunga hivi, kaeni mkao wa kula.
Huo uchungu umeupimajeUmeandika kwa uchungu sana.
Ally bananga yupo dar mbn kitambo tu anazurura huko Koko beachKatika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo.
Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu.
Yako mengi yanayoendelea kwenye viunga hivi, kaeni mkao wa kula.
Nimetumia vigezo vya ufipa.Huo uchungu umeupimaje
Mtiririko upo lkn kwa whatsup sijui utaupataje ndugu?Lo tunakosa hondo, MMM leo naona hajatoamtiririko.
Bananga mtupieni chapa za mkojo, msimuumize!
Hili linawezekana maana kesi kusikilizwa mpk 21/10 nikajisemea mbona mbali sanaNdio namaanisha bungeni ila ili wapate uhalal huko ni lazima wawe attached cdm ndio maana hata cdm hawataondoka mpaka 2025 licha ya kufukuzwa
Unafananisha mabalozi na Chawa Ally Bananga !!Kwahiyo nyie mende wakati Balozi za Sweeden wakija pale kwa Gaidi walikua Chadema?
Ebu wacha ujunga hao ni watanzania wana haki ya kufika mnaogopa matango pori yataumbuliwa sio.