Nafikiri tatizo kwa nchi nyingi ni budget. Unafikiria kuwekeza fedha nyingi ambazo pengine utaweza zirudisha kwa kuuza hizo chanjo lakini sasa utamuuzia nani? Unapima gharama unaona za kuagiza ni cheap zaidi kuliko kutengeneza mwenyewe.
Ndiyo maana unaona hata mataifa tajiri kuliko Tanzania ( Japan, Brazil, Misri, Algeria, Korea ,Qatar nk) wanaendelea kuagiza.