Waweza kuitwa mvamiaji!Mimi sijachanjwa nipo kikaoni
Nini maana ya chanjo? Njanjo ya ini ambayo hadi sasa binaadam inatubidi tuchanje,je ukichanjwa chanjo ya ini ukikutana na vinavyosababisha homa ya maini utaugua?sijaelewa swali lako
Utaambiwa virus havina dawa. Lakini huko vijijini mtu akiugua mafua (flue - virus) kisha akatafutafuta majani ya mkaratusi wenye majani membamba akajifukiza anapona kesho yake. Sasa unajiuliza ni virus kweli ndivyo haviponyeshwi na ugonjwa!?Kwanini wataalaamu wamekimbilia kwenye chambo badala ya kutafuta tiba ya ugonjwa?
Mimi naona ni bora hospital mgonjwa Wa corona akifaa watangazwe hapo kila mtu angeogopa na tahadhari ingechukuliwa kwakuwa nimeshuhudia zile familia zilizotoa taarifa watu wamechukuwa taadhari na viongozi waache tabia ya kuwapa RAIA hofu mimi nilichanja sikuona madhara yoyote byHuu mjadala ungedumu kwa muda wa siku tatu, napendekeza. Kwa wakati huo huo uliopendekezwa, ili kuwapata wadau waliojiandaa wengi zaidi.
Maana inaweza kutokea baadhi ya maswali muhimu yakakosa majibu au majibu yasijitosheleze.
Au kuna taarifa ilitolewa humu JF kabla, kuwajulisha watu?
Siyo kwa bahati mbaya
====
Vipi hoja ya wataalamu wetu wakishirikiana na serikali kutengeneza chanjo yetu limegusiwa kwanye mjadala!?
Nini maana ya chanjo? Njanjo ya ini ambayo hadi sasa binaadam inatubidi tuchanje,je ukichanjwa chanjo ya ini ukikutana na vinavyosababisha homa ya maini utaugua?
Hao wataalamu wa afya niwafahamu vizuri tu karibu wote. Uwezo wao naufahamu na kazi zao nazijua.
Najua sio rahisi kuamini, lakini ukweli ni kuwa Hawajui lolote kuhusu kirusi cha Covid 19 na chanjo zake. Ebola tu yenyewe hawajui lolote wala maabara ya kuchunguza bacteria wake!
Wao wamekuwa tu wapiga debe kutafuta tu umaarufu waonekane wanjua na kuongeza wateja katika biasha zao za afya.
Hawana maabara, hawawezi hata kusoma na kuelewa machapisho kuhusu kirusi hicho katika journal kama Nature, Science, NEJM nk. Hata hawajawahi kushiriki wala kujadili na wanasayansi waliotengeneza hizo chanjo. Hawezi hata kuhudhuria mikutano yao ya kiasanyansi kwa sababu hawana cha kuchangia.
Wataalamu hao wanagoogle tu vijitaarifa na kujiita "mabingwa". Endeleeni kudanganywa. Uzuri tu wananchi walio wengi WAHADANGANYIKI! na vijitaarifa vya "mabingwa" uchwara wasio hata na maabara ya ebola sembuse kirusi cha corona.
Hakuna chanjo ambayo ukichanjwa haupati tena hiyo homa?Ndiyo.
Kuugua ni nini?
Ni yale mapokeo ya mwili wako kwa kitu kigeni mwilini/ugonjwa. Katika hali ya kawaida hata homa ya ini yenyewe dalili zake ni mild/ndogo sana, kama kupata mafua(flue like).
Ndio maana watu wengi hatujui tunapoambukizwa. Ila madhira yake ndo huwa makubwa/complications.
Hivyo, chanjo itakuzuia kwenda kwenye complications kama ini kuathirika na mengine. Lakini kujisikia hauko sawa kama dalili ndogo ndogo utapata (unwellness).
Asante sana Mkuu kwa ufafanuzi mzuri sana.Hii ni kuhakikisha kunachozalisha kuna ushahidi wa kutosha juu ya kutendakazi na usalama. Pata maarifa kwenye kitu kinaitwa drug discovery and development process
Yellow feverNi chanjo gani hapo nyuma walipewa wanadamu kwa ajili ya kujikinga na homa flani kisha wakachanjwa badae waliambukizwa nao wanaathirika? Kwa mfano chanjo ya polio, chanjo ya uti wa mgogo. Chanjo ya ini
Kule ulikosa watu na ukitaka kujua hilo angalia viewers au replies, mada yenyewe iliegemea upande mmoja yaani utadhani waandaaji wake siyo wadau wa STORY BALANCED!.Uzi kukaa jukwaa la siasa badala ya lile la afya nako kunaleta maswali.
Nafikiri tatizo kwa nchi nyingi ni budget. Unafikiria kuwekeza fedha nyingi ambazo pengine utaweza zirudisha kwa kuuza hizo chanjo lakini sasa utamuuzia nani? Unapima gharama unaona za kuagiza ni cheap zaidi kuliko kutengeneza mwenyewe.Mbali nakuangalia waliochanja na ambao hawajachanja ukizingatia Uviko-19 umeonekana ni gonjwa ambalo utakuwepo muda. Mpango gani uliopo wa wataalamu wetu wa Afya kuja na chanjo zetu kama Taifa ? Maana mataifa mengine tunaona wanakuja na chanjo zao. Tusisahau pia Taifa lipo katikati ilihali ni lazima ikitokea unataka kutoka nje ya nchi.
Hilo linawezekanaje wakati mnataka kutuangamizaNa sisi ant vacancies tuheshimiwe