teh teh teh teh teh teh teh safi sana ww ukiona kuna show ipo chini ya hawa clauds fm kaa mkao wa paka chongo mda wowote unaliwa.
maana kuanzia bosi wao mpaka wafanyakazi ni makanjanja wakutupwa.
sema mlio enda wote mafara ilibidi mfanye fujo na kuwaingizia hasara ya mwaka ili nao watie akili.ilibidi lile jukwaa na music systerm yote ndani ya dk 2 tu mnagawana kila 1 anaondoka na chake yaani kweli nyie mabwege tatizo vijana wa dar wengi ni mchele mchele.ndio maana vijana wa tmk huwa wanawakomesha sana kwa kuwapora .