Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Sasa kama mtu amekuwa mbunge kwa miaka ishirini na ameshindwa kutoa maji yaliyopo umbali wa mita kama 100 kutoka mjini, lakini leo anatuahidi kupeleka maji vijijini, (Tanzania nzima kwa miaka mitano). TUTAMWAMINI vipi???? Ndio hivyo tena HATUNA NAMNA NYINGINE

Mbona huyo lowassa naye MUNDULI HAKUNA MAJI NA ALIPEWA BILLION 45
 
Wakiambiwa CCM ni ile ile na mwendo ni ule ule watu hawaelewi yaani ukichagua ccm jua umechagua umaskini shida na mateso makubwa utasikia CCM inawenyewe mara tunafanya upembuzi wa kina!! ovyo kabisaa
 
Ruwasa juu watai soma namba.wao wanasema tutaisoma sisi wao tope ritawamwagikia wata sherekea niambie kwenu yukojuu kira.kona magu niro wasa
 
Hiki alichokiweka mleta mada kinaendana na hizi picha je ni kweli mleta mada KIAZI au ni wewe ndio KIAZI?
chato.jpg


chato3.jpg


chato2.jpg

usinambie chato wamemlaki lowasa kiasi hiki? Aibu iloyoje kwa pombe loh. Nilijua tuu
 
Si bora hata huyo Lowass anaongea kidogo…lakini sisi tumedhamiria kuwa hata jiwe(ambalo haliongei) likishindana na CCM sisi tutachagua jiwe..Issue yetu hapa sio kuongea bali ni kulitoa shetani CCM…Bora kukaa kimya badala ya kutukana watu..umeshasahau Magufuli alivyotutukana sisi wa Kigamboni?? "Kama hamna nauli pigeni mbizi"" Na hapo Chato kawatukana watu wa kwake "WANYE BARABARANI WASAMBAZE KINYESI IWE RAMI"
Sasa si bora kukaa kimya ndio busara mkuu!!

raisi gani ana mitusi kivile?
 





Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.







11062155_738292122949561_6368863165678958064_n.jpg



12036988_556038567880547_8957026065834674281_n.jpg


12038268_556038664547204_5049918353201883221_n.jpg





Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Chato Geita leo Jumatano 16/9/2015 katika viwanja vya Stendi.
12019787_556038337880570_929793924177904128_n.jpg



11990411_556038377880566_6235790119795724237_n.jpg



11998928_556038404547230_4923605621354129343_n.jpg



12039481_556038507880553_6561760069740585940_n.jpg
=>Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her ou
 
Kaushauri kwa mh. Rais wetu. Kabidhi tu kijiti kwa Lowasa. Patana naye, achia ofisi kimya kimyaaa ajikalie ofisini mwenyewe kabla. Hii, ni hatari
 
Magufuli alisema tumuhukumu kwa maendeleo aliyoyapeleka Chato, il tuone kama hafai kumpa nchi
Sasa huu mrejesho mfupi wa tuliyoyaona huko, kwa kweli Magufuli amejitahidi sana kuweka taa za barabarani japo hakuna magari yanayohitaji kuongozwa na mataa hayo.

Mitaa mingi ya mjini imeweka lami, na barabara kuu ya kwenda Bukoba kupitia Chato ina lami (japo ni ya kiwango cha chini sana). Amejitahidi kujenga Hotel yake ya kifahari na Apartment za kutosha (JS MOTEL), tena ilifunguliwa na Mkapa pamoja na Raila Odinga japo yeye amesikika akisema hapendi matajiri (ni mfanya biashara)

Sasa tukirudi kwenye hali halisi ya maisha kwa mwananchi wa kawaida, utashangaa. Maisha ni duni mno, kuna ziwa lakini hakuna hata kiwanda cha kusindika samaki japo yeye amesikika ukishangaa ni kwa nini ukanda wote wa bahari ya hindi hakuna kiwanda cha samaki. Kuna ziwa lakini maji safi ni ya shida sana japo yeye amesikika aki ahidi maji safi na salama kwa vijiji vyote Tanzania kama akipata ridhaa. Watu wanachota maji ziwani kwenda kupikia.

Magufuli amekuwa Mbunge kwa miaka ishirini lakini ameshindwa kuwapatia watu wake maji safi tena yaliyopo umbali wa mita mia tu. Ameshindwa kuwapatia watu wake kiwanda ili vijana wapate ajira japo malighali zipo.Sasa anapata wapi uhalali wa kutuambia kuwa atatuletea Ajira, atatuletea Maji Safi na Salama, na atatujengea viwanda????

HUYU AMESHINDWA kabla hajaanza

nilishawambia chato hawampendi pombe mwanzo mwisho sasa mmejionea na kura nyingi lazima tuzitoe chato.huu ndo mwisho wa ccm
 
Ingefaa iwe kichwa cha habari cha t daima kesho.."Moto wa mabua wahamia kwa Magufuli"
 
Haya mafuriko wap jamani ni dar au mbeya

Hi hi hiiiiii nalia mie!! Ni Chato hiyo Mkuu, leo watu wametembea kwa miguu kutoka vijiji vya mbali kwenda kumsikiliza Lowassa!

Watu wamelazimisha lukopter imshushe Lowassa japo awasalimie tu! Si mmezoea kuambiwa eti wananchi wameziba barabara eti Magufuli aongee nao? Sasa hii ya Geita ni mpya, sijawahi kuona Ndege inalazimishwa kushuka ili aliyemo azungumze na wananchi!!
 
SHIKAMOO CHATO,mwidiwe chatooo!! Tasibota/Masibota chatoooo,nimesalimia kwa lugha zinazotumika sana chato,hii imejibu tafiti ya kupikwa aloitoa makamba leo i,kwa wapenzi wa mpira ni kwamba magufuli kapigwa home and away,Viva ukawa
 
Back
Top Bottom