All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,453
- 2,564
Sasa kama mtu amekuwa mbunge kwa miaka ishirini na ameshindwa kutoa maji yaliyopo umbali wa mita kama 100 kutoka mjini, lakini leo anatuahidi kupeleka maji vijijini, (Tanzania nzima kwa miaka mitano). TUTAMWAMINI vipi???? Ndio hivyo tena HATUNA NAMNA NYINGINE
Mbona huyo lowassa naye MUNDULI HAKUNA MAJI NA ALIPEWA BILLION 45