nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
tukisema serikali imechoka hawakubali. mpaka naibu waziri kachoka.
Akihitimisha hoja ya bajeti ya OWM leo bungeni mh. Waziri Mkuu amesema mfumko wa bei ni njia sahihi ya kukuza na kuelekea kwenye uchumi ulio imara wa nchi.jamani wataalamu wa uchumi híi nadharia ya PM Ni sahihi? Source TBC 1.
Leo kashindwa kujibu swali la mh.jaffo na kuomba muda atafute majibu.kweli hii serkali imejaza vilaza.
ndo maana tunasema serikali yao imechoka,bado hawatuelewi!Leo kashindwa kujibu swali la mh.jaffo na kuomba muda atafute majibu.kweli hii serkali imejaza vilaza.