Yaliyojiri Bungeni Dodoma leo Mei 09, 2016

Yaliyojiri Bungeni Dodoma leo Mei 09, 2016

Mtoa mada usisahau ikifika kile kipindi kinachochukiwa sana na viongozi wetu hasa waserikali,na yule dada yetu msaidizi,hasa baada ya kukaribisha wageni.Waheshimiwa wakisimama tu kuomba miongozo basi ghafla TV zote zinazima inaanza TBC1,STAR TV and the alike,wanachoogopa sijui ninini? utuelezee na miongozo iliyotolewa aliyetoa muongozo,muongozo unatakaje,nani kautoa,amejibiwa na nani,taarifa ngapi waliotoa,amejibiwaje na kama waliruhusiwa kutoa miongozo yao kwa mujibu wa kanuni ya 68 au ya 64 kanuni za Bunge.siyo hayo maswali walioandikiwa na kukaa nayo wiki nzima wakikariri na kujiandaa kuyajibu.....

Kikurajembe original hii signature yako imeniacha hoi mheshimiwa! ""If your presence add no value to my life,then your absence makes no difference"
 
Agenda ya wapinzani saivi ni kuunga mkono ufisadi. Mkuu tupe updates hizoo. Hongera sana TBC Taifa kwa kurusha bunge live
Hivi wa kupongezwa ni tbc au upinzani na baadhi ya wanaharakati waliopaza sauti zao.
Mbona unajitoa ufahamu au kulipwa posho ya kupiga porojo hizi akili inahamia chini...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom