Huyu mgimwa anasifie halafu anaanza kulalamika hapo hapo tena. Duh? Hatari
Jana mmbunge wa Gairo Shabib aliunga mkono kwa 100%alipoanza kuchangia alilalamika hadi kengele inagongwa!ni vigumu kuwaelewa hawa waheshimiwa wetu.
Huyu mgimwa anasifie halafu anaanza kulalamika hapo hapo tena. Duh? Hatari
Mie nimeanza kuchoka kufuatilia maswali mengi ni ya kujisafisha majimboni au ayapewi majibu ya kuridhisha.Jana mmbunge wa Gairo Shabib aliunga mkono kwa 100%alipoanza kuchangia alilalamika hadi kengele inagongwa!ni vigumu kuwaelewa hawa waheshimiwa wetu.
Mie nimeanza kuchoka kufuatilia maswali mengi ni ya kujisafisha majimboni au ayapewi majibu ya kuridhisha.
Halafu naibu waziri sijui ndio msemaji wa ofisi ya waziri mkuu anajibu kwa hamaki huyo mpaka unaweza kufikiria mara mbili kabla ya kuuliza swali wakati majibu yake yako nusu sana.
Asubuhi kuna mtu kamuuliza kuhusu ugawanyi wa ruzuku ya mapato na maendeleo kwa wamama na waototo katika wilaya yake na kudai kwanini hela aziwafikii wamama walio vijijini na hela inaishia katika za mijini tu huko alipo. Alivyo mjibu clearly serikari aina mikakati/usimamizi wakuhakikisha sera inafikia walengwa wote, kuna tatizo kubwa sana kwenye distribution channels na huyu bwana kila mara nikimsikia lawama anatupia madiwani lakini aoni tatizo lilipo.
Binafsi naona wengi wanajitahidi isipokuwa serikari ndio upeo unahitajika zaidi kuna wanataaluma wetu wengi kwenye mawizara wanapwaya kutokana na majibu au solution wanazowapa mawaziri.Mkuu mtizamo wangu kwa hawa waheshimiwa upeo unahusika!
Yaani wabunge wa Sisiem inabidi wapimwe walivyo kwenye 'upstairs' zao.Jana mmbunge wa Gairo Shabib aliunga mkono kwa 100%alipoanza kuchangia alilalamika hadi kengele inagongwa!ni vigumu kuwaelewa hawa waheshimiwa wetu.
Mimi huwa hii kitu inanishangaza na kamwe sijawahi kupata mantiki yake.
Mbunge anasimama na kusema kwamba anaunga mkono hotuba ya WM kwa 100%
Halafu wakati wa kuchangia anaanza kulalamika tangu mwanzo wa hotuba yake hadi mwisho i.e. analalamika kwa 100%
Mbunge wa aina hii tumeweke katika kundi gani?