MAMA POROJO JF-Expert Member Nov 22, 2007 4,974 785 Apr 29, 2012 #21 Vodacom walipe gharama zote zilizotumika kuondoa mabango yao na gharama za kuyahifadhi kwenye maghala ya Halmashauri pamoja na riba ya asilimia 15 kwa mwezi kwa deni wanalodaiwa.
Vodacom walipe gharama zote zilizotumika kuondoa mabango yao na gharama za kuyahifadhi kwenye maghala ya Halmashauri pamoja na riba ya asilimia 15 kwa mwezi kwa deni wanalodaiwa.