akili akili
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,767
- 1,155
Nimeiona kwa picha tu, naomba kujua , ina milango ya nyuma pia au ndio dereva ashuke ndio mwingine apande? Maana so fat sijaona ile handle ya lufungulia mlanho wa nyumaukiipata vezel utaenjoy sana kwanza hybrid system ya honda kwa ujumla ni bora na hainaga vipengele kama toyota. nina vezel oya hii gari ni tam sanaaaa