Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,898
- 1,051
Hili jambo miaka mitatu nyuma lilikuwa maarufu sana, yaliibuka makanisa ya mitume na manabii kwa kasi ya ajabu yaliyokuwa kila wakati yakituonyesha picha za wafu waliokufa kimazingara na baadae kufufuliwa nao.
Karata hii isiyo na chembe ya haya wala soni ya udanganyifu ikawapatia waumini wengi na umaarufu mkubwa.
Gwajima bingwa wa haya mazingaombwe kwa kujiamini kabisa aliutangazia uma wa waumini wake kuwa angemfufua Marehemu Amina Chifupa RIP, watu wakausubiri kwa hamu muujiza huu, Chifupa mpaka leo hajafufuka.
Maumivu yalibaki kwa mtoto wake na ndugu zake ambao jina la ndugu yao lilitumika kwa malengo binafsi huku magazeti ya udaku yakiwa kichocheo kikuu
Watu wote tuliowaona wakifufuliwa hatujawahi kuonyeshwa ndugu zao na historia zao, sijawahi kuona mtu wa Dar akifufuliwa au mtu ninayemfahamu, bali mtu wa dar alifufukia Arusha, wa mwanza alifufukia dar nk.
Upofu wa imani ukawafanya wengi wakimbilie kwenye haya makanisa, lakini sasa mambo yamebadilika na uongo wao umejulikana! Siku hizi kufufua misukule sio dili tena, kilichopo ambacho nacho kinakufa ni kutoa mapepo! Hivi mapepo yanakaa kwa akina mama tuuu!?
Imani ni kitu kizuri pale tu unapojitambua kuwa unaamini nini na kwa nini! Hawa manabii na mitume wa uongo wamechuma Mali nyingi kwa waumini wapumbavu! Serikali iliangalie hili kwa makini yasije kutokea yaliyotokea Uganda, Kenya na ulaya kule watu waliojiuwa kwa maelfu kwa maagizo ya viongozi wao wakiamini kwa kufanya hivyo watakwenda peponi.
Wewe mtani wangu acha tu,
Wapo watu hata leo hii wanaamini kuwa wakienda
kwa gwajima mfu wao atafufuka.
Hata wasomi wazuri wa Biblia usishangae unapoambiwa
kuwa wakifiwa wanapeleka maiti huko ili ikafufuliwe,
cha ajabu ni kwamba wanarudi na mfu wao.
Hili la mapepo, hawa wahubiri huwa wanatumia mbinu moja
anapokuwekea mikono anakupush nyuma kiasi kama hauna
balance ni lazima utaanguka tu.
Na ndiyo maana akina mama wengi ndio wanaanguka
si hatuna nguvu sana.
Tanzanialaw nisingependa twende huko, vema tukajadili kilichomo kwenye heading
This is what the Word of God says:
Matthew 10:8 Heal the sick, raise the dead, cleanse those who have leprosy, drive out demons. Freely you have received; freely give.
The main problem is this, ALLAH AND MUHAMMAD NEVER DID THE ABOVE.
Am I not supposed to respond to the accusation?Tanzanialaw nisingependa twende huko, vema tukajadili kilichomo kwenye heading
Your accusations are frivolous and or you are wantonly disregard the infallible word. Here is what Jesus said:wachungaji wa makanisa ya kiroho
Ni sawa kabisa na makalmanzila
Wanachokifanya ni kucheza na akili za wateja wao
It is you who don't read the Bible, but people who are informed are doing it. Hereunder is the impeccable proof.Shida waliyo nayo wengi ni wavivu was kusoma neno au kusoma kwa kukariri na kupenda kwenye kuamini miujiza zaidi kuliko uhalisia
The Christian faith says we shall raise the dead and you are against it.Hapana nisingependa post hii ihusishwe na imani nyingine nje ya ukristo
What has this to do with "WAFUFUAO WATU MISUKULE"?Siku hizi kuna maji ya upako vitambaa vya baraka nk nk imani imehamia kwenye vitu vya kidunia kuliko uchaji wa rohoni
Siku hizi mtu akihubiri vizuri madhabahuni anatunzwa na kwakweli mahubiri yenyewe si lolote bali mipasho
Siku hizi huna haja hata ya kwenda kanisani unafungulia TV halafu unamwangalia kidume anavyomwaga mbwembwe kishapo anaweka namba za simu halafu unatuma sadaka/ mchango wako naye anakuombea
It is you who don't read the Bible, but people who are informed are doing it. Hereunder is the impeccable proof.
Matthew 10:8 Heal the sick, raise the dead, cleanse those who have leprosy, drive out demons. Freely you have received; freely give.
TanzaniaLaw kuna mahali naona hukupaelewa sipingani na neno la Mungu hata mara moja bali napingana na mafundisho yatolewayo na manabii na mitume wa makanisa ya kileo ukiisoma tena post yangu kwa makini utaelewa nilimaanisha niniThe Christian faith says we shall raise the dead and you are against it.
False accusationNa ni kweli wizi mtupu, maana hawa akina Gwajima miaka michache walikuwa watu wa kawaida sana sasa hivi ni matajiri wa kutupa kwa wizi wanaoufanya kwa waumini wao.
Haujatumia aya hata moja kupinga hayo mafundisho. Zaidi ya hapo, unatumia vipimo gani kupinga watumishi wa Mungu?TanzaniaLaw kuna mahali naona hukupaelewa sipingani na neno la Mungu hata mara moja bali napingana na mafundisho yatolewayo na manabii na mitume wa makanisa ya kileo ukiisoma tena post yangu kwa makini utaelewa nilimaanisha nini
Nevertheless, you comprehend my argument. If what you said is true, why are you changing your own thread? Paul used VITAMBAA KWENYE BIBLIA. John used Water kwenye Biblia, why are you against what you preach?Ni WAFU sio WATU
Let me put it in another way: there are several biblical accounts that are the basis for the modern practice of using a prayer cloth to assist the pray-er to receive positive answers to prayer. Matthew 9:20–22 tells the story of a woman who had suffered severe bleeding for twelve years. She managed to touch the hem of Jesus' cloak, believing this simple contact would heal her. Jesus countered in verse 22, telling her, "Your faith has made you well."Siku hizi kuna maji ya upako vitambaa vya baraka nk nk imani imehamia kwenye vitu vya kidunia kuliko uchaji wa rohoni
Siku hizi mtu akihubiri vizuri madhabahuni anatunzwa na kwakweli mahubiri yenyewe si lolote bali mipasho
Siku hizi huna haja hata ya kwenda kanisani unafungulia TV halafu unamwangalia kidume anavyomwaga mbwembwe kishapo anaweka namba za simu halafu unatuma sadaka/ mchango wako naye anakuombea