Msaada tafadhari kwa yeyote mwenye kufahamu, siku tatu hizi nimekuwa nikijaribu kutuma pesa toka tigo kwenda mpesa lakini process inakataa kuwa namba ya voda si sahihi wakati namba ni sahihi na siku zote nilikuwa natuma pesa bila matatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.