Yahusu: Kupinga utabiri wa mvua kubwa Dar kuanzia 15 Novemba

Mtani wa Taifa

JF-Expert Member
Aug 2, 2023
883
3,066
Mimi nikiwa na akili zangu timamu, napinga utabiri wa mamlaka ya hali ya hewa kuwa kuanzia kesho tarehe 15 kutakuwa na mvua kubwa mpaka tarehe 18.

Utabiri wangu ni kuwa hiyo mvua kubwa haitakuwepo bali itanyesha mvua ya wastani ambayo haitasababisha mafuriko wala adha kwa wananchi.

Utabiri wangu usipotimia naomba mods wanipige ban ya siku 30 bila huruma.

Eeeh Mungu nisaidie.
 
Mkiambiwa mhame kwenye mkondo na chemchem ya maji hamtaki. Sasa mnaoombea mvua ipige rasha rasha. Sasa basi nachema hivi mnvua itakayokuja itasomba nyumba mabondeni mpaka kunguni na itaenda mwaga Huko Indian ocean. Hameni msije sema sijawaambia. Tatizo Wana dsm ni wabishi sana cause Wana element za uchura chura kujifanya maji rafiki yao
 
Kwa nini siku hizi kuwekuwa na tabiri tata za hali ya hewa hasa mvua? Mimi binafsi kila utabiri naufuatilia kuona kama ni kweli utatokea kwa kiwango kinachotangazwa katika eneo la nchi nilipo. Tabiri nyingi hazitokei kwa wastani unavyotangazwa. Hii el nino inayotangazwa imekuwa ni abrakadabra tu. Mvua zinazonyesha ni za kawaida sana, tena ni ndogo si kubwa kama zinavyotangazwa. Majira ya mvua kubwa kuwepo kwa mwaka hujulikana mapema tangu mwezi oktoba/novemba
 
Jamani wadau naombeni updates hasa mlioko Dar je kuna eneo lina mvua? Utabiri wangu umeanza kufanya kazi, bado siku 3 mpaka tarehe 18
 
Kwa nini siku hizi kuwekuwa na tabiri tata za hali ya hewa hasa mvua? Mimi binafsi kila utabiri naufuatilia kuona kama ni kweli utatokea kwa kiwango kinachotangazwa katika eneo la nchi nilipo. Tabiri nyingi hazitokei kwa wastani unavyotangazwa. Hii el nino inayotangazwa imekuwa ni abrakadabra tu. Mvua zinazonyesha ni za kawaida sana, tena ni ndogo si kubwa kama zinavyotangazwa. Majira ya mvua kubwa kuwepo kwa mwaka hujulikana mapema tangu mwezi oktoba/novemba
Mvua ipo nyingi kutokana na maeneo Arusha mvua imenyesha nyingi sana na imeleta madhara kwa binadamu...mvua iliyonyesha Arusha usiku wa jana na leo ni balaa sana na jiji halina mkondo mzuri wa maji yakitoka huko milimani sipati picha majengo chini na kwa Mromboo kukoje huko...
 
Utabiri wangu kwenye simu inaonyesha mvua leo zitaanza kwenye saa saba mchana na kuendelea kwa hapa Dsm ingawa kwa sasa naona wingu lipo linajikusanya
 
Mimi nikiwa na akili zangu timamu, napinga utabiri wa mamlaka ya hali ya hewa kuwa kuanzia kesho tarehe 15 kutakuwa na mvua kubwa mpaka tarehe 18.

Utabiri wangu ni kuwa hiyo mvua kubwa haitakuwepo bali itanyesha mvua ya wastani ambayo haitasababisha mafuriko wala adha kwa wananchi.

Utabiri wangu usipotimia naomba mods wanipige ban ya siku 30 bila huruma.

Eeeh Mungu nisaidie.
Apostle,
Pepo la kuangamiza Kimakenzi Makenzi wa shakahola forest malindi Kenya limekuzonga right, left and center.
Tubu na kuiamini injili ya mokozi,
Aimen....
 
Mvua ipo nyingi kutokana na maeneo Arusha mvua imenyesha nyingi sana na imeleta madhara kwa binadamu...mvua iliyonyesha Arusha usiku wa jana na leo ni balaa sana na jiji halina mkondo mzuri wa maji yakitoka huko milimani sipati picha majengo chini na kwa Mromboo kukoje huko...
hizo ni mvua za kawaida katika msimu wake haina sifa ya kuiwa el nino. Kumbukeni mvua za mwaka 1997/1998 hiyo ndiyo ilikuwa el nino hasa, vilindi, mito na mabwawa vilijaa na kufurika kisawasawa. Kutwa nzima, usiku kucha ni mvua tu. Ikikata inarudi tena kwa wingi, ndiyo hapo jina EL NINO lilipoanza kutumika
 
hizo ni mvua za kawaida katika msimu wake haina sifa ya kuiwa el nino. Kumbukeni mvua za mwaka 1997/1998 hiyo ndiyo ilikuwa el nino hasa, vilindi, mito na mabwawa vilijaa na kufurika kisawasawa. Kutwa nzima, usiku kucha ni mvua tu. Ikikata inarudi tena kwa wingi, ndiyo hapo jina EL NINO lilipoanza kutumika
Ilikua balaaa...nakumbuka nilikua primary mpk njaa ikatokea watu wameozesha chakula shambani...nguo hazikauki...
 
Back
Top Bottom