Yah. Nikopeshe Microfinance

Yah. Nikopeshe Microfinance

Zogoo da khama

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
638
Reaction score
607
Kuna hiyo taasisi inayojihusisha na utoaji mikopo kwa waombaji ndani ya masaa 12, lakini hawatimizi ahadi yao, watu wanalipishwa Tzs 4,850 kama kiingilio na ada ya form ni Tzs. 10,250 na pesa zote hizo zinatumwa kwenye airtel money no. 0699 890 806 yenye jina Zeno Mnenuka, msaada mwenye taarifa sahihi kuhusu Nikopeshe Microfinance aufahamishe umma.
Screenshot_20220821-142307_Nikopeshe.jpg
Screenshot_20220819-195129_Nikopeshe.jpg
Screenshot_20220819-193953_Nikopeshe.jpg
 
Wajinga ndio waliwao, ngoja wakusanye viingilio vyenu wasepe maana kila siku mkiambiwa mmeziba masikio.

Mkiona hiyo Registration ya Blera ndio inawati ujinga kabisa.

Hapo umepigwa kaa kitako Kwa kutulia.
 
Hapo kwenye kampuni ina udhamini na mashirika kama USAID, OSF na globaLiving pamenipa mshituko
Hao ni janja janja. 😂
 
Ukishaona makaribisho yanavutia kupita kiasi rudi nyuma utafakari....Watu wapo kunufaika wao sio kukunufaisha wewe Mkuu.
 
Back
Top Bottom