Anika mambo ya CIA uone cha moto, bongo ni tambalare kabisa, maana kuwafunua hivyo utafumuliwa fumu fumu. Mambo mengine hapa bongo uhuru umepitiliza mno kwa vyombo vya habari, kukiuka maadili na taaluma ya uandishi ni kitu cha kawaida, lakini tuwe makini siku nyingi utashtukia umegusa idara nyeti katika ulimwengu mwingine utajikuta umekalia jivu lenye moto (ndukhsa).