johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Ili kupata mawasiliano yenye uhakika ni vema pakafanyika mabadiliko madogo ya katiba ili kumuwezesha CAG kuwa mbunge.
Tumeona faida ya mwanasheria mkuu kuwa mbunge kwamba anajibu hoja zetu zote zenye utata wa kisheria pale bungeni, vivyo hivyo CAG akiwa mbunge ataweza kuzitolea ufafanuzi hoja zote za kikaguzi na zikapata ulinzi wa bunge.
Mfano swala la fedha za escrow kuwa ni za Umma au za akina Rugemalira lingemalizwa vizuri na CAG ndani ya bunge.
Nini mawazo yako hapa?
Maendeleo hayana vyama!
Tumeona faida ya mwanasheria mkuu kuwa mbunge kwamba anajibu hoja zetu zote zenye utata wa kisheria pale bungeni, vivyo hivyo CAG akiwa mbunge ataweza kuzitolea ufafanuzi hoja zote za kikaguzi na zikapata ulinzi wa bunge.
Mfano swala la fedha za escrow kuwa ni za Umma au za akina Rugemalira lingemalizwa vizuri na CAG ndani ya bunge.
Nini mawazo yako hapa?
Maendeleo hayana vyama!