Yafahamika chanzo cha moto katika soko la SIDO ni jiko la mkaa, wasababisha hasara ya bilioni 14

kirerenya

JF-Expert Member
Aug 27, 2013
1,696
2,252
sido.png
Kamati iliyoundwa kuchunguza chanzo cha moto ulioteketeza Soko la SIDO Jijini Mbeya imekabidhi ripoti yake leo ikionyesha chanzo cha moto huo ni jiko la Mkaa ndani ya kibanda cha mama lishe.

Ripoti hiyo imebaini hasara iliyosababishwa na moto huo ni zaidi ya Tshs Bilioni 14.

Mkuu wa Mkoa Amos Makala atangaza eneo hilo rasmi kuwa Soko la kudumu,aagiza iwekwe miundombinu ya kudumu kwa kuzingatia tahadhari ya moto.

Chanzo: ITV
 
Kamati iliyoundwa kuchunguza chanzo cha moto ulioteketeza Soko la SIDO Jijini Mbeya imekabidhi ripoti yake leo ikionyesha chanzo cha moto huo ni jiko la Mkaa ndani ya kibanda cha mama lishe.

Ripoti hiyo imebaini hasara iliyosababishwa na moto huo ni zaidi ya Tshs Bilioni 14.

Mkuu wa Mkoa Amos Makala atangaza eneo hilo rasmi kuwa Soko la kudumu,aagiza iwekwe miundombinu ya kudumu kwa kuzingatia tahadhari ya moto.

Chanzo: ITV
 
Mmhh cdhani
Sasa mbona nasikia wana katazwa kujenga tena apo
 
Back
Top Bottom