Kamati iliyoundwa kuchunguza chanzo cha moto ulioteketeza Soko la SIDO Jijini Mbeya imekabidhi ripoti yake leo ikionyesha chanzo cha moto huo ni jiko la Mkaa ndani ya kibanda cha mama lishe.
Ripoti hiyo imebaini hasara iliyosababishwa na moto huo ni zaidi ya Tshs Bilioni 14.
Mkuu wa Mkoa Amos Makala atangaza eneo hilo rasmi kuwa Soko la kudumu,aagiza iwekwe miundombinu ya kudumu kwa kuzingatia tahadhari ya moto.
Kamati iliyoundwa kuchunguza chanzo cha moto ulioteketeza Soko la SIDO Jijini Mbeya imekabidhi ripoti yake leo ikionyesha chanzo cha moto huo ni jiko la Mkaa ndani ya kibanda cha mama lishe.
Ripoti hiyo imebaini hasara iliyosababishwa na moto huo ni zaidi ya Tshs Bilioni 14.
Mkuu wa Mkoa Amos Makala atangaza eneo hilo rasmi kuwa Soko la kudumu,aagiza iwekwe miundombinu ya kudumu kwa kuzingatia tahadhari ya moto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.