tufahamishane
Member
- Jun 22, 2024
- 28
- 30
Najaribu kuwaza na kufikilia unampaje mtoto jina hata hanazaliwa? Wanasiasa wa Tanzania ni watu wenye vituko kuliko. Yani uchaguzi haujafika wanalia wataiibiwa.
Hivi munaiibiwaje kabla kura hazijapigwa? Wanasiasa wa Tanzania 🇹🇿 munatuaibisha.
Na wapa ushauri ingieni vijijini mkauze Sera zenu. Jengeni ofisi mpaka mitaani. Sogerea wana nchi kwa kushiriki kazi za maendeleo. Mkikataa ushauli wangu kila mwaka mtalia kuibiwa kura.na kumbe hamjaibiwa mmekataliwa
Hivi munaiibiwaje kabla kura hazijapigwa? Wanasiasa wa Tanzania 🇹🇿 munatuaibisha.
Na wapa ushauri ingieni vijijini mkauze Sera zenu. Jengeni ofisi mpaka mitaani. Sogerea wana nchi kwa kushiriki kazi za maendeleo. Mkikataa ushauli wangu kila mwaka mtalia kuibiwa kura.na kumbe hamjaibiwa mmekataliwa