Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
2020 ileeeAdditional point ,as I'm the SADC chairman I am so busy with protesters around my state ,thank you
Ila kwanini viongozi wa Africa na AU wako kimya???
So what?kwani hawana makwao?
Duh uhai wa watu siyo muhimu kama vitu. Unathamini mali kuliko utu law hiyo ni heri watu wauwawe lakini Airbus ipone binadamu wa ajabu kweli wewe. Mali inatafutwa lakini uhai ukiondoka ndiyo basi hauna replacementWanafiki tu hao Mabeberu
Mbona hawaku post Beberu Mzee alivyotaka kuteka Ndege yetu ya Air bus ?