OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,770
- 102,118
Machizi wako kila kona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua kopo wahi maliwatoni, ndiyo tumeshawapasua sasa.Al Ahly walijifanya vidume. Tulipowaambia tuwazungushe zungushe waijue mitaa wakajidai walishacheza hii game kwao Misri. Matokeo yake ndo hayo
El Merreikh hawa wamekuwa watiifu wakati tukiwazungusha mitaa mbalimbali waifahamu Tanzania. Na Wakulungwa wamewahikikishia ushindi upo. Na zaidi zaidi kuwa wakikosa sana ni pont moja. Ila wamepewa maelezo wakifuata maelezo hata points tano katika match moja wanaweza pata. Ndio ujue mjini hapa.
Kila la kheri. Hawa Simba wametuita sisi Mbwa, wametuita sisi Nyani wametuita majina mabaya ya kutudhalilisha sana. Basi nasi tunalipiza kisasi. Hii game lazima alie mtu vibaya sana. Wale mashabiki kindakindaki mkaangalizie game karibu na Hosp. Maana wengi mtaanguka na kupata mshtuko wa moyo, ini, figo na mapafu. Simba mnalala na viatu.
Wee nyani, uliwazungusha mjini, warudishe airport mbwa weweEl Merreikh hawa wamekuwa watiifu wakati tukiwazungusha mitaa mbalimbali waifahamu Tanzania. Kila la kheri. Hawa Simba wametuita sisi Mbwa, wametuita sisi Nyani wametuita majina mabaya ya kutudhalilisha sana.
@Chizi MaarifaWee nyani, uliwazungusha mjini, warudishe airport mbwa wewe
Ule mwiko huko nyuma msipouchomoa mtapata tabu sanaAl Ahly walijifanya vidume. Tulipowaambia tuwazungushe zungushe waijue mitaa wakajidai walishacheza hii game kwao Misri. Matokeo yake ndo hayo
El Merreikh hawa wamekuwa watiifu wakati tukiwazungusha mitaa mbalimbali waifahamu Tanzania. Na Wakulungwa wamewahikikishia ushindi upo. Na zaidi zaidi kuwa wakikosa sana ni pont moja. Ila wamepewa maelezo wakifuata maelezo hata points tano katika match moja wanaweza pata. Ndio ujue mjini hapa.
Kila la kheri. Hawa Simba wametuita sisi Mbwa, wametuita sisi Nyani wametuita majina mabaya ya kutudhalilisha sana. Basi nasi tunalipiza kisasi. Hii game lazima alie mtu vibaya sana. Wale mashabiki kindakindaki mkaangalizie game karibu na Hosp. Maana wengi mtaanguka na kupata mshtuko wa moyo, ini, figo na mapafu. Simba mnalala na viatu.
Ulitumia kikevi gani au ndiyo huo uchizi wa kuzaliwa nao?Al Ahly walijifanya vidume. Tulipowaambia tuwazungushe zungushe waijue mitaa wakajidai walishacheza hii game kwao Misri. Matokeo yake ndo hayo
El Merreikh hawa wamekuwa watiifu wakati tukiwazungusha mitaa mbalimbali waifahamu Tanzania. Na Wakulungwa wamewahikikishia ushindi upo. Na zaidi zaidi kuwa wakikosa sana ni pont moja. Ila wamepewa maelezo wakifuata maelezo hata points tano katika match moja wanaweza pata. Ndio ujue mjini hapa.
Kila la kheri. Hawa Simba wametuita sisi Mbwa, wametuita sisi Nyani wametuita majina mabaya ya kutudhalilisha sana. Basi nasi tunalipiza kisasi. Hii game lazima alie mtu vibaya sana. Wale mashabiki kindakindaki mkaangalizie game karibu na Hosp. Maana wengi mtaanguka na kupata mshtuko wa moyo, ini, figo na mapafu. Simba mnalala na viatu.