Masoud Waukweli
Member
- Apr 21, 2014
- 17
- 2
Eti Jamaa Mmoja Muongo Kupindukia Halafu Msahaulifu Alikuwa Anastorisha Wenzake Mambo Yakawa Kama Ifuatavyo Jamaa:"wanangu Leo Si Nimekwenda Porini Nikakutana Na Swala Nikamkimbiza Nilipo Mkamata Nikamlaza Chini" Baada Ya Kuongea Hayo Simu Yake Ikaita Na Alipo Maliza Kuongea Na Cm Mambo Yakaendelea Jamaa:"masela Nimeishia Wapi?" Akajibiwa"si Pale Ulipo Mlaza Chini!" Jamaa Akaendelea "nika Mgonga Mpaka Nikapata Goli Tatu Fasta" Masela Wakamuuliza"kwani Si Swala?" Jamaa:"nikamchuna Ngozi Pale Fasta Nikambanika" Masela Wakamuuliza :"bila Ya Kumchinja?" Jamaa Akatahayari Pumbu Juu.