Ya wajumbe wa mwenyekiti yananikumbusha yaliyotokea pale Burundi 1993

Mar 17, 2016
193
188
Mwaka 1993 pale Burundi ulifanyika uchaguzi ukihusisha vyama vingi kwa mara ya kwanza.Muchuano mkali alikuwa kati ya UPRONA kilichokuwa cha minority Tusi ila majority of the educated people in the Country dhidi ya FRODEBU kilichokuwa cha Majority Hutu bt less educated.

Kama kawaida Merciory Ndandaye from FRODEBU and mojority Hutu aliibuka kidedea. Now the problem came, asilimia 90 ya watumishi katika sector zote ikiwemo jeshi na usalama wa taifa walikuwa from the minority Tusi, kilichomtokea Huyu Rais wote tunajua, he was assassinated in his palace.

Ukiangalia kwenye kijiji chetu wajumbe wengi wa mwenyekiti wetu bwana Kayoga Yohana,wanatoka kwenye less educated regions of our village.

Hivyo wanaongoza vigego ambavyo asilimia kubwa ya watendaji comes from the so called strong regions of our village by fact of being highly educated.

Unapokuwa na wajumbe wa namna hii katika kijiji kinachochojaribu kupambana na ufisadi, upendeleo na rushwa ni rahisi sana kwa wao kuhujumiwa kama alivyohujumiwa the late Merciory Ndandaye.

Pengine hadi yule mjumbe wa kigego cha mali za ndani kuingia kule akiwa amelewa ni matokeo ya frustration za kutosha, kumbukeni hiki ni kigego nyeti sana. Ndio maana mimi naamini sakata la Lukonde lina mambo mengi, kufukuzwa kazi mjumbe huyu pia kuna mambo mengi, iam sure kuna mafias wa kijiji weekend hii watafanya cheers za kutosha kwa ushindi wa Jana.

Ninaamini baada ya huyu, wajumbe wa vigego vya mashambani na viwandani nao watie nywele zao maji maana huku nako kuna mafia wa kutosha tu na kazi yao ni rahisi so long wala wanaoamini wanastahili kuongoza vigego hivi hawatapewa hicho wanachoamini kuwa ni stahili yao.

Just a piece of advice kwa Mwenyekiti wa kijiji chetu hebu wape hao wanaodhani wao pekee ndo wanastahili kuwa wajumbe katika vigego vya kijiji chetu vinginevyo utaendelea kuhujumiwa na kubadilisha wajumbe wa vigego kila siku.
 
Mwandishi alipoanua kuihusisha Burundi ya akina Merkione Ndadaye, alikua anajificha zaidi asitambulike.
Alipotumia neno 'Vigego' hapa ana maanisha wizara/baraza la mawaziri.
Aliposema 'Lukonde' kamaanisha 'Lugumi'. Pia mwandishi ni kama anajaribu kuonya anguko linalomuelekea waziri wa mambo ya kilimo hali kadharika waziri wa viwanda.
Anaendelea pia kuonya wale mawaziri ambao wanaongoza wizara ambazo utawala uliopita ulificha na bado ungali na maslahi yao nao wajiangalie kwa maana watendaji waliopo humo walipangwa strategically, maana yatawatokea kama yaliyo mpata yule wa kigego cha mali za ndani (Wizara ya mambo ya ndani).
 
Mwandishi alipoanua kuihusisha Burundi ya akina Merkione Ndadaye, alikua anajificha zaidi asitambulike.
Alipotumia neno 'Vigego' hapa ana maanisha wizara/naraza la mawaziri.
Aliposema 'Lukonde' kamaanisha 'Lugumi'. Pia mwandishi ni kama anajaribu kuonya anguko linalomuelekea waziri wa mambo ya kilimo hali kadharika waziri wa viwanda.
Anaendelea pia kuonya wale mawaziri ambao wanaongoza wizara ambazo utawala uliopita ulificha na bado ungali na maslahi yao nao wajiangalie kwa maana watendaji waliopo humo walipangwa strategically, maana yatawatokea kama yaliyo mpata yule wa kigego cha mali za ndani (Wizara ya mambo ya ndani).
mkuu,why!?ungeacha watu tukune vichwa vyetu!ona sasa umemwaga kuku mbele ya mtama mwingi1
 
Anaposema kayoga anamaanisha pombe, anaposema Yohana anamaanisha John na anaposema kijiji anamaanisha nchi. Anaposema mwenyekiti atakuwa anamaanisha mkuu wa nchi, nahisi fumbo lake ni hilo.
 
Huyu jamaa (mleta mada) ni hatari sana kwenye uandishi. Ametumia fasihi ya hali ya juu. Ametumia disguisement ili kuepuka mkono wa sheria. Amenikumbusha kazi moja matata yake Ngugi wa Thiongo inayojulikana kwa jina la "Ngaahika Ndeenda" (Kikikuyu) au "I Will Marry When I Want" (Kiingereza)
 
Mwandishi alipoanua kuihusisha Burundi ya akina Merkione Ndadaye, alikua anajificha zaidi asitambulike.
Alipotumia neno 'Vigego' hapa ana maanisha wizara/naraza la mawaziri.
Aliposema 'Lukonde' kamaanisha 'Lugumi'. Pia mwandishi ni kama anajaribu kuonya anguko linalomuelekea waziri wa mambo ya kilimo hali kadharika waziri wa viwanda.
Anaendelea pia kuonya wale mawaziri ambao wanaongoza wizara ambazo utawala uliopita ulificha na bado ungali na maslahi yao nao wajiangalie kwa maana watendaji waliopo humo walipangwa strategically, maana yatawatokea kama yaliyo mpata yule wa kigego cha mali za ndani (Wizara ya mambo ya ndani).
Ha ha ha mkuu, mm Simon bana, hakuna sehemu nimetaja hayo uliyosema
 
Mwaka 1993 pale Burundi ulifanyika uchaguzi ukihusisha vyama vingi kwa mara ya kwanza.Muchuano mkali alikuwa kati ya UPRONA kilichokuwa cha minority Tusi ila majority of the educated people in the Country dhidi ya FRODEBU kilichokuwa cha Majority Hutu bt less educated.

Kama kawaida Merciory Ndandaye from FRODEBU and mojority Hutu aliibuka kidedea. Now the problem came, asilimia 90 ya watumishi katika sector zote ikiwemo jeshi na usalama wa taifa walikuwa from the minority Tusi, kilichomtokea Huyu Rais wote tunajua, he was assassinated in his palace.

Ukiangalia kwenye kijiji chetu wajumbe wengi wa mwenyekiti wetu bwana Kayoga Yohana,wanatoka kwenye less educated regions of our village.

Hivyo wanaongoza vigego ambavyo asilimia kubwa ya watendaji comes from the so called strong regions of our village by fact of being highly educated.

Unapokuwa na wajumbe wa namna hii katika kijiji kinachochojaribu kupambana na ufisadi, upendeleo na rushwa ni rahisi sana kwa wao kuhujumiwa kama alivyohujumiwa the late Merciory Ndandaye.

Pengine hadi yule mjumbe wa kigego cha mali za ndani kuingia kule akiwa amelewa ni matokeo ya frustration za kutosha, kumbukeni hiki ni kigego nyeti sana. Ndio maana mimi naamini sakata la Lukonde lina mambo mengi, kufukuzwa kazi mjumbe huyu pia kuna mambo mengi, iam sure kuna mafias wa kijiji weekend hii watafanya cheers za kutosha kwa ushindi wa Jana.

Ninaamini baada ya huyu, wajumbe wa vigego vya mashambani na viwandani nao watie nywele zao maji maana huku nako kuna mafia wa kutosha tu na kazi yao ni rahisi so long wala wanaoamini wanastahili kuongoza vigego hivi hawatapewa hicho wanachoamini kuwa ni stahili yao.

Just a piece of advice kwa Mwenyekiti wa kijiji chetu hebu wape hao wanaodhani wao pekee ndo wanastahili kuwa wajumbe katika vigego vya kijiji chetu vinginevyo utaendelea kuhujumiwa na kubadilisha wajumbe wa vigego kila siku.

Mkuu.
Kwanza nikupe pongezi kwa fasihi uliyotumia.
Pili umenikumbusha Mbali habari za FRODEBU (Front pour la démocratie au Burundi) - FRONT FOR DEMOCRACY IN BURUNDI chini ya Melchior Ndadaye (RIP).
Mkuu hili kundi la mafia ni hatari sana. Ila naamini kuna watu wenye nia njema hatuwezi kufika ilikofika Burundi enzi hizo.
Yaani huwa mtu akiongelea Mafia huwa na refer Camorra (Italian Mafia) movie. Hawa jamaa ni hatari. Ila naamini kwa mfumo wa nchi yetu wa kunusanusa siyo rahisi. Uzuri wanajulikana ni kiasi cha kufuatilia tu mienendo yao.
 
Mkuu.
Kwanza nikupe pongezi kwa fasihi uliyotumia.
Pili umenikumbusha Mbali habari za FRODEBU (Front pour la démocratie au Burundi) - FRONT FOR DEMOCRACY IN BURUNDI chini ya Melchior Ndadaye (RIP).
Mkuu hili kundi la mafia ni hatari sana. Ila naamini kuna watu wenye nia njema hatuwezi kufika ilikofika Burundi enzi hizo.
Yaani huwa mtu akiongelea Mafia huwa na refer Camorra (Italian Mafia) movie. Hawa jamaa ni hatari. Ila naamini kwa mfumo wa nchi yetu wa kunusanusa siyo rahisi. Uzuri wanajulikana ni kiasi cha kufuatilia tu mienendo yao.
Ha ha ha, asante mkuu lkn wapo na wanasumbua, refer hotuba za mwenyekiti kwamba kuna watu wanataka kumkwamisha!
 
Fasihi andishi umeipitia kiasi flani umeiva hasa mwanzoni maana ulitumia lugha ya picha yenye utondoti ulio mujaarabu kweli kweli lakini mwishoni lugha ya picha imepotea. Umejitahidi sana
 
Ha ha ha, asante mkuu lkn wapo na wanasumbua, refer hotuba za mwenyekiti kwamba kuna watu wanataka kumkwamisha!
Unajua shida tuliyo nayo ni kwamba watoto wa wakubwa walishajiona they are the most privileged people. Kwamba wao ndio wenye haki ya kuongoza nchi. Sasa Mwenyekiti wa kijiji chetu yeye amekuja na philosophy yake ya kusaidia wanyonge. Hapo lazima wamchukie. Mkuu mie kwa mtazamo wangu naona hawataweza kwa sababu zifuatazo. Kiranja wa juu wa ulinzi wa kijiji chetu yuko upande wa mwenyekiti wetu. Pia walinzi wengi wa kijiji wanafurahia hatua ambazo mwenyekiti wa kijiji chetu anachukuwa kuweka mambo sawa. Kumbuka Mkuu jamii kubwa ya watanzania (ukiacha hao wanaojiona the most privileged) tumetoka maisha ya kimasikini. Na bado tuna ndugu zetu masikini huko tuliko toka, Ndio maana siye tulioko mijini tunaangaika lakini mwisho wa mwezi au baada ya muda fulani tunakumbuka kuwasaidia ndugu zetu waliyoko huko tulikotoka. Kwa mantiki hiyo, tunaona Mwenyekiti anavyofanya anatusaidia hata sisi. Maisha yakiwa mazuri kwa wananchi wote, ina maana hatutaangaika kutuma vijisenti kwa ajili ya matibabu au kununua sukari n.k kusaidia ndugu zetu. Nasi tutakuwa tumepunguziwa mzigo. Nadhani watanzania wengi wanamuunga mkono Mwenyekiti wa kijiji chetu. Tutafika tu Mkuu. Shida ya Ndadaye hata kiranja wa ulinzi walitofautiana ndo maana yakatokea yaliyotokea.
 
Back
Top Bottom