mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 1,364
- 2,395
Kiukweli nasikia harufu na kila dalili za ugomvi uliosabisha kifo cha Tupac na B.I.G kutokea hapa TZ kwa ali kiba na Diamond. Kwasabu ya chuki zilizopandikizwa na Wanawake(Wema na Jokate)
Kuna Uhasama na chuki kubwa sana kati ya Mashabiki wa Diamond na Ali kiba. Nilikuwa Arusha ktk kumbi ya Disco na ilitokea Fujo kubwa sana na watu kuchomana visu kisa tu Dj alipiga mwimbo wa alikiba na aligoma kuubadili.
Chuki zilizopo sasa zinaweza leta mauaji kwa hawa wasanii wetu wakubwa, na taifa kubakia na majonzi. Inshu ya Kiba kuvamiwa na majambazi ni mfano tosha.
Inabidi kifanyike kitu. Mana hali kiukweli ni mbaya, kwa mwenendo huu natabiri ya Tupac na B.I.G kutokea, kama hatutobadilika.
Hizi team zitaleta M A U A J I
Kuna Uhasama na chuki kubwa sana kati ya Mashabiki wa Diamond na Ali kiba. Nilikuwa Arusha ktk kumbi ya Disco na ilitokea Fujo kubwa sana na watu kuchomana visu kisa tu Dj alipiga mwimbo wa alikiba na aligoma kuubadili.
Chuki zilizopo sasa zinaweza leta mauaji kwa hawa wasanii wetu wakubwa, na taifa kubakia na majonzi. Inshu ya Kiba kuvamiwa na majambazi ni mfano tosha.
Inabidi kifanyike kitu. Mana hali kiukweli ni mbaya, kwa mwenendo huu natabiri ya Tupac na B.I.G kutokea, kama hatutobadilika.
Hizi team zitaleta M A U A J I