Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 625
- 1,251
Ushujaa kwa jambo lip? , tuna mashujaa wachachee sanaa hapa tzShujaa Lissu atawaumbua wengi.
Ushujaa kwa jambo lip? , tuna mashujaa wachachee sanaa hapa tz
Wote wale wanaowindwa na kudhulumiwa au kuuwawa kwa kusema ukweli ni mashujaa akiwemo shujaa Lissu.Ushujaa kwa jambo lip? , tuna mashujaa wachachee sanaa hapa tz
Hayumo kabisaaa labda shuja wako wewe na mkeoKatika hao wachache Lisu yumo kabisaaa
Hakuna lolote huyo anajisumbua tu si kila mtu ni mjinga km unavyodhani. Ikiwa hiyo ndiyo akili yako basi wewe ni sawa na mfuga mbwa ambaye anategemea makombo ya jirani.Sumbuka tu, wenzio walimnyima matibabu tumemtibu
Sasa anawaanika, mtapasuka wauwaji wakubwa nyie.
Hakuna lolote huyo anajisumbua tu si kila mtu ni mjinga km unavyodhani. Ikiwa hiyo ndiyo akili yako basi wewe ni sawa na mfuga mbwa ambaye anategemea makombo ya jirani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo yako ni sawa na kulinganisha ndege na baskeli (TL) umekalia ushabiki mandazi tu.Unasumbuka wewe kuandika uchafu wako hapa
Si ukaekimya kama hakusumbui