mbinayamaswa
Member
- Feb 26, 2011
- 9
- 0
Mwana JF tafakari hili:Itakuwaje BABU wa Loliondo atoweke gafla halafu aache ujumbe mfupi kuwa ,NDUGU WANANCHI NIMEAMUA KUKIMBIA MAANA NIMEGUNDUA HII DAWA NI SUMU NA HUUA BAADA YA MWAKA 1,wanangu 3 wamekufa kwa kuwa wao ndio walikuwa wa kwanza kuwafanyia majaribio, kweli walipona lakini baada ya mwaka mmoja wamekufa wote kwa mkupuo, bora nikaliwe na SIMBA KUliko kipigo cha wananchi,
unafikili dunia itafanya nini? hili tunalitarajia hapo baadaye kutokana na MATABIBU kuwa wengi. Tafakari chukua hatua .
unafikili dunia itafanya nini? hili tunalitarajia hapo baadaye kutokana na MATABIBU kuwa wengi. Tafakari chukua hatua .