Kada
Senior Member
- May 3, 2009
- 164
- 27
Wana jamvi habarini.
Swala la Ridhi kuwafikisha mahakamani Dk Slaa na Mchungaji Mtikila kuhusu uhalali wa mali anazomiliki
liliishia wapi?
Walimuomba radhi? Kama hapana, alienda mahakamani? Au alitaka safishwa kwa mbwembwe tu???
Mwenye habari yoyote kuhusu hilo NAOMBA ANIJUZE.
Post yangu ya kwanza- Nipo tayari kukosolewa/kurekebishwa.
Swala la Ridhi kuwafikisha mahakamani Dk Slaa na Mchungaji Mtikila kuhusu uhalali wa mali anazomiliki
liliishia wapi?
Walimuomba radhi? Kama hapana, alienda mahakamani? Au alitaka safishwa kwa mbwembwe tu???
Mwenye habari yoyote kuhusu hilo NAOMBA ANIJUZE.
Post yangu ya kwanza- Nipo tayari kukosolewa/kurekebishwa.