mzaramo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2006 Posts 6,371 Reaction score 5,191 Dec 5, 2014 #22 Kumbe ndio wewe!?sasa mbona huku unatumia jina baya tofauti na muonekano wako?
Migomba JF-Expert Member Joined Nov 30, 2013 Posts 945 Reaction score 1,339 Dec 5, 2014 #23 Ila hawalitendei haki jina lao, wanajiita band halafu wanapiga playback. Nimewaona kama mara mbili No gita, no kinanda, no ngoma.
Ila hawalitendei haki jina lao, wanajiita band halafu wanapiga playback. Nimewaona kama mara mbili No gita, no kinanda, no ngoma.
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,078 Dec 5, 2014 #24 Nawakubali sana madogo
Billie JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 13,709 Reaction score 23,117 Dec 5, 2014 #25 Mi siwapendi wameniharibia watoto wangu siku hiz wanaimba ule wimbo NISEME NISISEME
mgodi JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 2,780 Reaction score 1,851 Dec 5, 2014 #26 Hiyo ni namna ya uchanganyaji picha, inakufanya kuurudia tena na tena kuuangalia ili umuone vizuri.
M mpyepye JF-Expert Member Joined Nov 27, 2014 Posts 251 Reaction score 51 Dec 5, 2014 #27 Billie said: Mi siwapendi wameniharibia watoto wangu siku hiz wanaimba ule wimbo NISEME NISISEME Click to expand... teh!..mkuu inawezekana watoto wanakufikishia ukweli.
Billie said: Mi siwapendi wameniharibia watoto wangu siku hiz wanaimba ule wimbo NISEME NISISEME Click to expand... teh!..mkuu inawezekana watoto wanakufikishia ukweli.
maatope JF-Expert Member Joined Sep 19, 2013 Posts 1,422 Reaction score 957 Dec 5, 2014 #28 NGoja tuongee na mzalendo andrew chenge aliweke hili kwenye ile katiba yake
T TUTEER Senior Member Joined Nov 6, 2013 Posts 161 Reaction score 33 Dec 5, 2014 #29 mgodi said: Hiyo ni namna ya uchanganyaji picha, inakufanya kuurudia tena na tena kuuangalia ili umuone vizuri. Click to expand... Ok!,nmekusoma!
mgodi said: Hiyo ni namna ya uchanganyaji picha, inakufanya kuurudia tena na tena kuuangalia ili umuone vizuri. Click to expand... Ok!,nmekusoma!
mke wa mkuu JF-Expert Member Joined Dec 19, 2013 Posts 634 Reaction score 277 Dec 5, 2014 #30 Billie said: Mi siwapendi wameniharibia watoto wangu siku hiz wanaimba ule wimbo NISEME NISISEME Click to expand... Pole sana ukirudi kazini wanaanza kuimba mama kafanya hivi hahahhha hawana adabu hawa watoto wa yamoyo band ila mimi wananifurahisha
Billie said: Mi siwapendi wameniharibia watoto wangu siku hiz wanaimba ule wimbo NISEME NISISEME Click to expand... Pole sana ukirudi kazini wanaanza kuimba mama kafanya hivi hahahhha hawana adabu hawa watoto wa yamoyo band ila mimi wananifurahisha
Daniel Myl JF-Expert Member Joined Jun 26, 2013 Posts 535 Reaction score 270 Dec 5, 2014 #31 Washamba pamba zao utafikiri wametoka chalinze kwa mguu