comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,014
- 6,832
Madeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.
Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.
Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.
Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.
Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.
Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.
Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.
Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.
Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.
Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.