Ya Madeleka yanaweza kumpata Mbowe

Ya Madeleka yanaweza kumpata Mbowe

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,014
Reaction score
6,832
Madeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.

Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.

Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.

Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.

Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.

Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
 
Shetani Hajawahi kumshinda Mungu

JamiiForums1267461471_387x387.jpg
 
Madeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.

Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.

Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.

Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.

Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.

Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
Siyo kazi nyepesi kubambikizia kesi za UONGO wewe!
 
Madeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.

Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.

Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.

Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.

Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.

Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
Kama kuna mahali tuliteleza na kuhusu huyu mzee mbowe hakustahili kuwa huru hata kidogo
 
Kwakuwa chief cook wa ule upishi mchongo wa pale madukani kwa mama muuza ndio yupo pale jikoni anaweza kumlaza njaa,ila hatakufa kwa njaa😂😂
 
Yale Kwa Mbowe ni majungu ndiyo maana bi Mkubwa alifunika kombe!! Kalaga bao wa mjini wanajua
 
😂😂 ingekuwa powa sana, akafungue tena kesi, CDM ianze confrontational politics...

Hizi za kuchagua lip la kusema na lip liachwe naona mmechoka.
 
Madeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.

Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.

Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.

Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.

Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.

Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
Acha yampate hata zaidi mtovu wa shukran na adabu.
 
Acha upumbavu huu,hii sio police state wala banana country, ni haki yake Mr.MBOWE kuongea na kupigania anachakiamini, wewe zuzu lenye uoga endelea kuwa warrior wa JF kwenye soft landing, Mr.Mbowe amekaa rumande zaidi ya 250 day's ,wewe ukiwa umefwata mkia wako kuogopa nafsi yako
1689691149120.png
 
Madeleka mtu wa maokoto tuh,ajabu anafinya eti mzalendo kuongelea ishu za bandari.
 
Mkifanikiwa,

Mawe yatapiga kelele ikibidi.

KWELI na HAKI HAVIZUILIKI, asili yake ni Mbinguni.
Watu milioni 60 ni wengi sana.
Hatuwezi kukosa majasiri wawili watatu wa kulipigania na kulitetea Taifa hili.
 
Madeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.

Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.

Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.

Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.

Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.

Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
vipi kuhusu sabaya ?
 
Back
Top Bottom