Maisha ya ndoa enzi ya kale ilikuwa bora heshima ili dumu.ila saiv utapel tu hamna kitu. ndoa sai haiheshimik na talaka zimejaa kibao.kwa sai sioni haja ya kuingia kwenye ndoa bora uwe na wachumba. maana ndoa sai imejaa utapel na tena mkiachana mnagawa mal kati.na unakuta mwanaume aslimia kubwa ndoh mwenye mal.